GABO; TEJA, MMAKONDE AU MCHAGA?
![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LveGg5SQZVDrTpoymha53UaC8Gj7*Q1Ys7QY26kpUz3oq1x1SrIroLY8Wfk1elPYD1azzj2873zOVEYQqrjX01V/gabo.jpg)
Makala: Joseph Shaluwa ANASTAHILI kuitwa staa kulingana na uwezo wake kisanii. Anapaswa kuambiwa anaweza kwa namna anavyoweza kuvaa uhusika kwenye sinema anazoshiriki lakini ni haki akijulikana kwa jina la msanii kwa sababu hachagui uhusika kwenye filamu. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo Salim Ahmed, Gabo Zigamba akiwa mzigoni.. Anaitwa Gabo Zigamba lakini jina alilopewa na wazazi wake ni Salim Ahmed, mume wa Fatmah na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Aug
Azam teja kwa Yanga
YANGA jana ilianza vizuri msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara wa mwaka 2015/16 baada ya kuwafunga Azam FC kwa penalti 7-6 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFkrfRAlAL2N*O3Rxtrg4BDZ86foVlmQV*9BI6G8GDaYPayBiM366ewzR903Q-ErmDJ0hLP8TmxLA-NjU5gzZ7f/mlela.jpg?width=650)
MLELA ATUPIWA DONGO KUWA TEJA
10 years ago
Vijimambo20 Sep
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0p59gSkh23ytrEvz3KHAWIoXn6oENyMOMwrIpPuSMZmrpvo06LLW*F0vu7hRKR81Ep9HuIshuKCQ-BdTXdkRPFY/gabo.jpg)
GABO APATA AJALI
9 years ago
Bongo Movies21 Aug
Gabo:Sijaona Muigizaji wa Kushindana Naye
Msanii wa filamu aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Salim Ahmed maarufu kwa jina la Gabo amesema haoni msanii anayempa changamato.
Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gabo alisema wengi wamekuwa wakimwambia anaringa kutokana na kuwaambia ukweli.
“Kwa hapa Tanzania sijui ndio maana wanasema mimi naringa,” alisema Gabo alipoulizwa ni msanii gani anayempa changamoto.
“Nyuma alikuwa Single Mtambalike, sasa hivi sijaona wa kumtazama na kunipa changamoto tuweze...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5fxic*XWeDO*WEMidH6iHBvTjmZhcFiJphj75zDJnqRrpnrjXtjjqFwzVUnq1DcOVrlI*8apYOnamU7pDWcWoG/gabo.jpg)
BOND, GABO WANASWA WAKISAGA MIRUNGI
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
"NDOTO TEJA" Filamu mpya to Gonga Entertainment. Inaongelea kuhusu madawa ya kulevya.
Swahili
"Ndoto Teja" ni mtiririko wa "Short Films" ambao unatengenezwa na Director Frank 'Gonga' Mgoyo ambao umeanza na "NDOTO TEJA - DRUGS" Filamu fupi hii inaonyesha ni jinsi gani vijana wanaharibikiwa kwa matumizi ya madawa ya kulevya ambayo huanzia kwenye unywaji POMBE, Uvutaji BANGI na mpaka kuingia kwenye utumiaji wa MADAWA YA KULEVYA. "NDOTO TEJA" ni neno ambalo lina maanisha kuwa, ukiweza kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na hata ukiamua kuacha na kwenda REHAB, maisha...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/7cMobi97XNc/default.jpg)
9 years ago
Bongo528 Aug
Mwanangu alifukuzwa shule kwa kumpiga mwenzie aliyemtania baba yake ni teja — Q Chief