MLELA ATUPIWA DONGO KUWA TEJA
![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFkrfRAlAL2N*O3Rxtrg4BDZ86foVlmQV*9BI6G8GDaYPayBiM366ewzR903Q-ErmDJ0hLP8TmxLA-NjU5gzZ7f/mlela.jpg?width=650)
NYOTA wa filamu za Kibongo, Yusuph Mlela amedaiwa kugeuka teja (mbwia madawa ya kulevya) hali inayomsababishia ashindwe kujichanganya na wasanii wenzake katika shughuli mbalimbali. Nyota wa filamu za Kibongo, Yusuph Mlela Kikizungumza na Amani juzikati, chanzo kilisema msanii huyo kwa sasa anavuta unga kiasi cha uteja kujionesha waziwazi na kupoteza mwonekano wake wa zamani. Juzi, paparazi wetu alimtafuta Mlela na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscadNq2qXVrzF*OM1F7ioLtcYZSYW6NPM7vRUtfu*lCKLmjAPJQFWKLJuTKRQDz9bN2EgSR5qRaMWJxazANSh48z/mlela.jpg)
MLELA AMPIGA DONGO NORA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iGTqgdYPOa8/VCJDw65XsaI/AAAAAAAAhns/DE_WlYjj5GM/s72-c/mlela.jpg)
Mwigizaji Yusuph Mlela Ampiga Dongo Nora Amwita Kibibi
![](http://1.bp.blogspot.com/-iGTqgdYPOa8/VCJDw65XsaI/AAAAAAAAhns/DE_WlYjj5GM/s640/mlela.jpg)
9 years ago
Habarileo23 Aug
Azam teja kwa Yanga
YANGA jana ilianza vizuri msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara wa mwaka 2015/16 baada ya kuwafunga Azam FC kwa penalti 7-6 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LveGg5SQZVDrTpoymha53UaC8Gj7*Q1Ys7QY26kpUz3oq1x1SrIroLY8Wfk1elPYD1azzj2873zOVEYQqrjX01V/gabo.jpg)
GABO; TEJA, MMAKONDE AU MCHAGA?
10 years ago
Vijimambo20 Sep
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
"NDOTO TEJA" Filamu mpya to Gonga Entertainment. Inaongelea kuhusu madawa ya kulevya.
Swahili
"Ndoto Teja" ni mtiririko wa "Short Films" ambao unatengenezwa na Director Frank 'Gonga' Mgoyo ambao umeanza na "NDOTO TEJA - DRUGS" Filamu fupi hii inaonyesha ni jinsi gani vijana wanaharibikiwa kwa matumizi ya madawa ya kulevya ambayo huanzia kwenye unywaji POMBE, Uvutaji BANGI na mpaka kuingia kwenye utumiaji wa MADAWA YA KULEVYA. "NDOTO TEJA" ni neno ambalo lina maanisha kuwa, ukiweza kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na hata ukiamua kuacha na kwenda REHAB, maisha...
9 years ago
Bongo528 Aug
Mwanangu alifukuzwa shule kwa kumpiga mwenzie aliyemtania baba yake ni teja — Q Chief
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5GyZNVhvCxKOKo0fx0B2dU97-WE4b6cmAd5croAZscwvJiSjPmOeDLFZuJyHr4OkdAheINfp1IPO5ucSFXvXzg/Mfanyabiashara.gif?width=650)
MFANYABIASHARA ATUPIWA VYOMBO NJE
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Mourinho atupiwa virago Chelsea
LONDON England
CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.
Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.
Kufungwa na vinara wa ligi...