Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MLELA ATUPIWA DONGO KUWA TEJA

NYOTA wa filamu za Kibongo, Yusuph Mlela amedaiwa kugeuka teja (mbwia madawa ya kulevya) hali inayomsababishia ashindwe kujichanganya na wasanii wenzake katika shughuli mbalimbali. Nyota wa filamu za Kibongo, Yusuph Mlela Kikizungumza na Amani juzikati, chanzo  kilisema msanii huyo kwa sasa anavuta unga kiasi cha uteja kujionesha waziwazi na kupoteza mwonekano wake wa zamani. Juzi, paparazi wetu alimtafuta Mlela na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MLELA AMPIGA DONGO NORA

Stori Mwandishi Wetu
KUFUATIA madai ya hivi karibuni ya mkongwe wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ kuwa baadhi ya waigizaji hawana sifa za kuwa wacheza sinema zaidi ya kuuza sura, msanii Yusuph Mlela amempa dongo zito akisema licha ya umri kuwa mkubwa, pia ana matatizo flani yanayomsumbua. Msanii wa filamu Bongo, Yusuph Mlela.
“Nora naona siyo kosa lake kwani alishaugua yule,  isitoshe ameshakuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwigizaji Yusuph Mlela Ampiga Dongo Nora Amwita Kibibi

KUFUATIA madai ya hivi karibuni ya mkongwe wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ kuwa baadhi ya waigizaji hawana sifa za kuwa wacheza sinema zaidi ya kuuza sura, msanii Yusuph Mlela amempa dongo zito akisema licha ya umri kuwa mkubwa, pia ana matatizo flani yanayomsumbua.“Nora naona siyo kosa lake kwani alishaugua yule, isitoshe ameshakuwa bibi hivyo nimemsamehe na sina tatizo naye kwani najua, lingekuwa jambo la maana kama angetufuata na kutushauri kama mkongwe lakini si kwa njia...

 

9 years ago

Habarileo

Azam teja kwa Yanga

YANGA jana ilianza vizuri msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara wa mwaka 2015/16 baada ya kuwafunga Azam FC kwa penalti 7-6 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

11 years ago

GPL

GABO; TEJA, MMAKONDE AU MCHAGA?

Makala: Joseph Shaluwa
ANASTAHILI kuitwa staa kulingana na uwezo wake  kisanii. Anapaswa kuambiwa anaweza kwa namna anavyoweza kuvaa uhusika kwenye sinema anazoshiriki lakini ni haki akijulikana kwa jina la msanii kwa sababu hachagui uhusika kwenye filamu. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo Salim Ahmed, Gabo Zigamba akiwa mzigoni.. Anaitwa Gabo Zigamba lakini jina alilopewa na wazazi wake ni Salim Ahmed, mume wa Fatmah na...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Bongo Movies

"NDOTO TEJA" Filamu mpya to Gonga Entertainment. Inaongelea kuhusu madawa ya kulevya.

Swahili

"Ndoto Teja" ni mtiririko wa "Short Films" ambao unatengenezwa na Director Frank 'Gonga' Mgoyo ambao umeanza na "NDOTO TEJA - DRUGS" Filamu fupi hii inaonyesha ni jinsi gani vijana wanaharibikiwa kwa matumizi ya madawa ya kulevya ambayo huanzia kwenye unywaji POMBE, Uvutaji BANGI na mpaka kuingia kwenye utumiaji wa MADAWA YA KULEVYA. "NDOTO TEJA" ni neno ambalo lina maanisha kuwa, ukiweza kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na hata ukiamua kuacha na kwenda REHAB, maisha...

 

9 years ago

Bongo5

Mwanangu alifukuzwa shule kwa kumpiga mwenzie aliyemtania baba yake ni teja — Q Chief

Q Chief amedai kuwa aliumia mno pale mtoto wake alipofukuzwa shule baada ya kupigana na mwanafunzi mwenzake aliyemtania kuwa baba yake ni teja! Q-Chief alikuwa akizungumza na BBC Swahili hivi karibuni. Mtoto wa Q Chief “Siku moja mwanangu alikuja analia sana, akaniambia baba mwanafunzi mmoja amesema baba yake si teja tu. Nikamwambia kwahiyo ukafanyaje akaniambia […]

 

10 years ago

GPL

MFANYABIASHARA ATUPIWA VYOMBO NJE

Na Haruni Sanchawa Mfanyabiashara mmoja jijini Dar es Salaam, Mwita Chacha alivunjiwa geti kisha kutupiwa vyombo vyake nje baada ya kuvamiwa hivi karibuni na watu waliodaiwa kuwa ni kutoka saccos moja ya jijini Dar. Akizungumza na gazeti hili, Chacha alidai kuwa tukio hilo lilitokea katika maeneo ya Pugu Kwalala, Kata ya Pugu, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam wakati akiwa mbali na nyumbani kwake.  Soma zaidi hapa...

 

9 years ago

Mtanzania

Mourinho atupiwa virago Chelsea

mourinho-jose-424737LONDON England

CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.

Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.

Kufungwa na vinara wa ligi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani