MLELA AMPIGA DONGO NORA
![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscadNq2qXVrzF*OM1F7ioLtcYZSYW6NPM7vRUtfu*lCKLmjAPJQFWKLJuTKRQDz9bN2EgSR5qRaMWJxazANSh48z/mlela.jpg)
Stori Mwandishi Wetu KUFUATIA madai ya hivi karibuni ya mkongwe wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ kuwa baadhi ya waigizaji hawana sifa za kuwa wacheza sinema zaidi ya kuuza sura, msanii Yusuph Mlela amempa dongo zito akisema licha ya umri kuwa mkubwa, pia ana matatizo flani yanayomsumbua. Msanii wa filamu Bongo, Yusuph Mlela. “Nora naona siyo kosa lake kwani alishaugua yule, isitoshe ameshakuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iGTqgdYPOa8/VCJDw65XsaI/AAAAAAAAhns/DE_WlYjj5GM/s72-c/mlela.jpg)
Mwigizaji Yusuph Mlela Ampiga Dongo Nora Amwita Kibibi
![](http://1.bp.blogspot.com/-iGTqgdYPOa8/VCJDw65XsaI/AAAAAAAAhns/DE_WlYjj5GM/s640/mlela.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFkrfRAlAL2N*O3Rxtrg4BDZ86foVlmQV*9BI6G8GDaYPayBiM366ewzR903Q-ErmDJ0hLP8TmxLA-NjU5gzZ7f/mlela.jpg?width=650)
MLELA ATUPIWA DONGO KUWA TEJA
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Loga ampiga dongo Mdachi
9 years ago
Bongo505 Oct
Idadi ya watazamaji wa Tamthilia ya Empire yapungua kwenye episode ya pili, 50 Cent ampiga dongo Cookie
9 years ago
Bongo Movies22 Sep
Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili
Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.
"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".
Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa watakuwa wamemuelewa.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ihomsbH7WgfkQrpBCV6ia5OBfo3ofjV-gz9eKgH*MjKaFSe*VgdgBAIe-IHANgfOZzDXErJXonBKvaYUQds8MA4/vfdef.jpg?width=650)
MADAI KAJALA AMPA DONGO WEMA
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Samia aitupia dongo Wilaya ya Hai
Patricia Kimelemeta na Omary Mlekwa,Hai
HALMASHAURI ya Wilaya ya Hai imedaiwa kuwa miongoni mwa wilaya zinazoongoza kwa kupokea na kutoa rushwa, hali iliyosababisha baadhi ya miradi ya maendeleo kukwama.
Hayo yalibainishwa na mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Foo, Kata ya Machame Kaskazini.
Alisema fedha za miradi ya maendeleo zilizokuwa zinatolewa na Serikali hazijatumika kwa malengo yaliyokusudiwa jambo ambalo...
10 years ago
Bongo Movies29 Dec
UTANI:Mtunisy Amtupia Dongo Wolper
UTANI KIDOGO: Akiwa kwenye hilo pozi la kutulia, Mtunisy alitupia hii mtandaoni;
"Mji umepoa mpaka raha bora nyie WACHAGA mmbakie huko huko kwenu KISHUMUNDU muna fujo sana hapa mjini wamebakia wachache tu akina WOLPER ingawa nao hawatulii"-Mtunisy alimaliza.
Hii iliwafanya mashabiki wengi kuachia KOMENTI na LIKES za kutosha, wakimtaka wolper ajitokeze kuthibitisha madai hayo…huku baadhi ya watu wakabira la wachanga wakijisifu kwa njinsi wanavyotumbua siku kuu huko Kilimanjaro.
9 years ago
Bongo Movies16 Aug
Mlela na ‘Kicheche’
Yusuph Mlela ametoa filamu ya ‘Kicheche’ ili kudhihirisha ubora wake katika uongozaji na uigizaji amesema.
Aidha, Mlela ambaye alikuwa akitumika kucheza kazi za wasanii wengine tangu kuingia katika tasnia hiyo, alisema ameamua kufanya kazi zake ili kuongeza kipato.
“Siku zote ukifanya kazi za watu itafikia mahali utakuwa huoni faida. Bora nifanye kazi zangu mwenyewe’,” alisema.
“Sipo tayari kuona wenzangu wanamiliki kampuni wakati na mimi nina uwezo wa kufanya hivyo.”
Chanzo:...