Loga ampiga dongo Mdachi
>Kocha wa Simba, Zdravco Logarusic amesema hawezi kupoteza muda kwa kupigana vijembe na kocha wa Yanga, Mdachi Hans Van Der Pluijim, atamshushia heshima kwa kuhakikisha anatwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscadNq2qXVrzF*OM1F7ioLtcYZSYW6NPM7vRUtfu*lCKLmjAPJQFWKLJuTKRQDz9bN2EgSR5qRaMWJxazANSh48z/mlela.jpg)
MLELA AMPIGA DONGO NORA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iGTqgdYPOa8/VCJDw65XsaI/AAAAAAAAhns/DE_WlYjj5GM/s72-c/mlela.jpg)
Mwigizaji Yusuph Mlela Ampiga Dongo Nora Amwita Kibibi
![](http://1.bp.blogspot.com/-iGTqgdYPOa8/VCJDw65XsaI/AAAAAAAAhns/DE_WlYjj5GM/s640/mlela.jpg)
9 years ago
Bongo505 Oct
Idadi ya watazamaji wa Tamthilia ya Empire yapungua kwenye episode ya pili, 50 Cent ampiga dongo Cookie
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Devota Kasanda Mdachi-Tanzania’s Most Powerful Business Woman
By Ayoub Mzee
Meet Devota Kasanda Mdachi the Tanzania Tourist Board ‘s Marketing Director, the first woman to hold this position in Tanzania. She is billed as Tanzania’s most powerful business woman by Newdeal Africa – based in London. It’s been a ground breaking year for her in business .Within a short time since her appointment Tanzania’s fortunes have doubled as far as Tourism is concerned in Tanzania
Ms. Mdachi will be based in the TTB head office in...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpFkrfRAlAL2N*O3Rxtrg4BDZ86foVlmQV*9BI6G8GDaYPayBiM366ewzR903Q-ErmDJ0hLP8TmxLA-NjU5gzZ7f/mlela.jpg?width=650)
MLELA ATUPIWA DONGO KUWA TEJA
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Samia aitupia dongo Wilaya ya Hai
Patricia Kimelemeta na Omary Mlekwa,Hai
HALMASHAURI ya Wilaya ya Hai imedaiwa kuwa miongoni mwa wilaya zinazoongoza kwa kupokea na kutoa rushwa, hali iliyosababisha baadhi ya miradi ya maendeleo kukwama.
Hayo yalibainishwa na mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Foo, Kata ya Machame Kaskazini.
Alisema fedha za miradi ya maendeleo zilizokuwa zinatolewa na Serikali hazijatumika kwa malengo yaliyokusudiwa jambo ambalo...
10 years ago
Bongo Movies29 Dec
UTANI:Mtunisy Amtupia Dongo Wolper
UTANI KIDOGO: Akiwa kwenye hilo pozi la kutulia, Mtunisy alitupia hii mtandaoni;
"Mji umepoa mpaka raha bora nyie WACHAGA mmbakie huko huko kwenu KISHUMUNDU muna fujo sana hapa mjini wamebakia wachache tu akina WOLPER ingawa nao hawatulii"-Mtunisy alimaliza.
Hii iliwafanya mashabiki wengi kuachia KOMENTI na LIKES za kutosha, wakimtaka wolper ajitokeze kuthibitisha madai hayo…huku baadhi ya watu wakabira la wachanga wakijisifu kwa njinsi wanavyotumbua siku kuu huko Kilimanjaro.
9 years ago
Bongo Movies22 Sep
Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili
Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.
"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".
Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa watakuwa wamemuelewa.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ihomsbH7WgfkQrpBCV6ia5OBfo3ofjV-gz9eKgH*MjKaFSe*VgdgBAIe-IHANgfOZzDXErJXonBKvaYUQds8MA4/vfdef.jpg?width=650)
MADAI KAJALA AMPA DONGO WEMA