Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlela na ‘Kicheche’

Yusuph Mlela ametoa filamu ya ‘Kicheche’ ili kudhihirisha ubora wake katika uongozaji na uigizaji amesema.

Aidha, Mlela ambaye alikuwa akitumika kucheza kazi za wasanii wengine tangu kuingia katika tasnia hiyo, alisema ameamua kufanya kazi zake ili kuongeza kipato.

“Siku zote ukifanya kazi za watu itafikia mahali utakuwa huoni faida. Bora nifanye kazi zangu mwenyewe’,” alisema.

“Sipo tayari kuona wenzangu wanamiliki kampuni wakati na mimi nina uwezo wa kufanya hivyo.”

Chanzo:...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mpenzi wako ‘kicheche’

NI matumaini yangu msomaji wa safu hii -mzima wa afya.  Leo nitaelezea jinsi ya kuzungumza na mpenzi wako pindi unapomuona anawatamani wasichana wengine pindi unapokuwa naye kwenye mkusanyiko wa watu...

 

10 years ago

GPL

MAPENZI YAMTESA MLELA

Na Rhoda Josiah
STAA wa sinema za Kibongo, Yusuf Mlela amesema kuwa hahitaji mwanamke kwa sasa kutokana na wanawake wengi aliokuwanao kuwa waongo. Staa wa sinema za Kibongo, Yusuf Mlela. Akipiga stori na mwandishi wetu, Mlela ambaye ni baba wa mtoto mmoja, alisema hahitaji mwanamke wa aina yeyote kwani wengi wao walimtesa kipindi cha nyuma. “Kwa sasa mwanamke wangu ni pesa tu na kazi yangu ya sanaa na kuwaza juu ya...

 

11 years ago

GPL

MLELA: ULEZI UMENIFICHA

Na Gladness Mallya
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, staa wa filamu Bongo, Yusuf Mlela amefunguka kuwa ukimya huo umesababishwa na malezi ya mwanaye. Yusuf Mlela. Akichonga na gazeti hili, Mlela alisema anahitaji muda mwingi kukaa na mwanaye Mwantumu kama baba hivyo majukumu yamekuwa mengi, anawaomba mashabiki wake kuelewa kwani ‘soon’ atakuja kivingine.… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Mlela ageukia Bongo Fleva

Msanii Yusuph Mlela 'Angelo'

Staa wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela.

Suzan kayogela
BAADA ya kuegemea upande wa filamu kwa muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Muvi, Yusuf Mlela ameamua kugeukia Muziki wa Bongo Fleva rasmi ili kutimiza ndoto zake za muda mrefu alizokuwa nazo.

Akistorisha na kona ya Bongo Muvi Mlela alisema kuwa, kabla ya kujikita kwenye uigizaji alikuwa na nia ya kuanza kufanya muziki lakini baadaye alikuja kubadili uamuzi na kufanya filamu ambazo zimemletea heshima kubwa.

“Nimeshatengeneza ngoma yangu ambayo...

 

10 years ago

GPL

MLELA AMPIGA DONGO NORA

Stori Mwandishi Wetu
KUFUATIA madai ya hivi karibuni ya mkongwe wa filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ kuwa baadhi ya waigizaji hawana sifa za kuwa wacheza sinema zaidi ya kuuza sura, msanii Yusuph Mlela amempa dongo zito akisema licha ya umri kuwa mkubwa, pia ana matatizo flani yanayomsumbua. Msanii wa filamu Bongo, Yusuph Mlela.
“Nora naona siyo kosa lake kwani alishaugua yule,  isitoshe ameshakuwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Yusuph Mlela: Nikikupikia biriyani…

YUSUPH  Mlela ni msanii maarufu wa  filamu nchini  aliyeweza   kujijengea jina kutokana na kumudu kazi yake kwa kuigiza sehemu  tofauti bila kujali uhusika anaouvaa.

Ni miongoni mwa wasanii wachache ambao  wameweza kutunza heshima yao  tofauti na wasanii wengine wanaotafuta umaarufu kwa kufanya mambo yanayokwenda kinyume na maadili.

Raia Tanzania imezungumza na Mlela  ili kujua mambo mbalimbali ya maisha yake  awapo nje ya sanaa kama ifuatavyo:

Raia Tanzania: Ukimzungumzia mlela...

 

9 years ago

GPL

MLELA AKIRI KUPONZWA NA STAREHE!

Brighton masalu YUSUF Mlela ‘Angelo’ amekiri kurudishwa nyuma kimaendeleo kutokana na kuendekeza sana starehe siku za nyuma, ikiwemo ulevi kupindukia na kubadili wanawake. Yusuf Mlela ‘Angelo’. Akizungumza kwa njia ya simu Jumanne ya wiki hii katika mazungumzo ya kawaida na mwandishi wetu, Mlela alisema kila wakati alikuwa akigombana na mama yake mzazi juu ya suala hilo na kuona kama anaonewa lakini kwa sasa amekua na...

 

9 years ago

GPL

MLELA AJIACHIA NA SHOMBESHOMBE ZENJI

Staa wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela akiwa na shombeshombe huyo. Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela juzikati alinaswa Zanzibar akijiachia kimahaba na mrembo shombeshombe.Chanzo makini kililitonya gazeti hili kuwa, Mlela ameonekana visiwani humo kwa wiki nzima akijiachia na mwanadada huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja bila kuhofia wala kuogopa macho ya watu. Alipoulizwa kwa njia ya simu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani