MLELA: ULEZI UMENIFICHA
![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGXxsS4B3jVoPnLymwPQrZD7PzN3CqYSIjMs-sfcAfoox4YmimbJJxA6nmCjx-VqkKVzPoS7dOAqUUyodT6Rp4U/mlela.jpg?width=650)
Na Gladness Mallya BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, staa wa filamu Bongo, Yusuf Mlela amefunguka kuwa ukimya huo umesababishwa na malezi ya mwanaye. Yusuf Mlela. Akichonga na gazeti hili, Mlela alisema anahitaji muda mwingi kukaa na mwanaye Mwantumu kama baba hivyo majukumu yamekuwa mengi, anawaomba mashabiki wake kuelewa kwani ‘soon’ atakuja kivingine.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
WaterAid yawajengea uwezo wadau wa afya ya ulezi na uzazi
Nathaniel Limu, Singida
VITENDO...
9 years ago
Bongo Movies16 Aug
Mlela na ‘Kicheche’
Yusuph Mlela ametoa filamu ya ‘Kicheche’ ili kudhihirisha ubora wake katika uongozaji na uigizaji amesema.
Aidha, Mlela ambaye alikuwa akitumika kucheza kazi za wasanii wengine tangu kuingia katika tasnia hiyo, alisema ameamua kufanya kazi zake ili kuongeza kipato.
“Siku zote ukifanya kazi za watu itafikia mahali utakuwa huoni faida. Bora nifanye kazi zangu mwenyewe’,” alisema.
“Sipo tayari kuona wenzangu wanamiliki kampuni wakati na mimi nina uwezo wa kufanya hivyo.”
Chanzo:...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxabn0rUAW7aEaWDXztYqW9kvHqALw2w89CLwT0--bQ4bYIbck6xj8LZNvVOQBDt8PsRSkUi*HE1aKwZALSbM183/mlela.jpg?width=650)
MAPENZI YAMTESA MLELA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscadNq2qXVrzF*OM1F7ioLtcYZSYW6NPM7vRUtfu*lCKLmjAPJQFWKLJuTKRQDz9bN2EgSR5qRaMWJxazANSh48z/mlela.jpg)
MLELA AMPIGA DONGO NORA
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Yusuph Mlela: Nikikupikia biriyani…
YUSUPH Mlela ni msanii maarufu wa filamu nchini aliyeweza kujijengea jina kutokana na kumudu kazi yake kwa kuigiza sehemu tofauti bila kujali uhusika anaouvaa.
Ni miongoni mwa wasanii wachache ambao wameweza kutunza heshima yao tofauti na wasanii wengine wanaotafuta umaarufu kwa kufanya mambo yanayokwenda kinyume na maadili.
Raia Tanzania imezungumza na Mlela ili kujua mambo mbalimbali ya maisha yake awapo nje ya sanaa kama ifuatavyo:
Raia Tanzania: Ukimzungumzia mlela...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-M5JLAFxn1FEUpcX7uEARk-DqG*SXxlnK3wfjclgwBB3eBKqMQ1ArJBaX*hFwSYg0YWr5y4k8iZkN8pUCjWXuUACNbrcXB0n/Mlela.jpg)
MLELA AKIRI KUPONZWA NA STAREHE!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYteqVIgNzIBFm4tT8di2cLrDAq-zweaMPvrTQJS1-8D0pZ90PReW7SIeWqerCP0*LI-WFn1vg3ZcXNZ-xOr-Gvl/mlela1.jpg?width=650)
MLELA AJIACHIA NA SHOMBESHOMBE ZENJI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3BKyO-f-eeCfoclBIas0LR2-vbqM-wwoitip3*cs417-gsm03l14KL3w5S3psa*u2EtH-oee1cACZN0wU*ldYe/mlela.jpg?width=650)
MLELA: UKIOA MSANII NI STRESS