Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MLELA AJIACHIA NA SHOMBESHOMBE ZENJI

Staa wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela akiwa na shombeshombe huyo. Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Yusuf Mlela juzikati alinaswa Zanzibar akijiachia kimahaba na mrembo shombeshombe.Chanzo makini kililitonya gazeti hili kuwa, Mlela ameonekana visiwani humo kwa wiki nzima akijiachia na mwanadada huyo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja bila kuhofia wala kuogopa macho ya watu. Alipoulizwa kwa njia ya simu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHOMBESHOMBE AMVAA DIAMOND

Richard Bukos
Mambo ya uchaguzi! Ama kweli nyota ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Baba Tiffah’ inazidi kung’aa ambapo Ijumaa iliyopita mrembo mwenye asili ya Kiarabu ‘shombeshombe’ aliwazidi kete mabaunsa wa msanii huyo na kumvaa mzimamzima. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Baba Tiffah’ akivamiwa na mrembo huyo. Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa...

 

11 years ago

GPL

VJ PENNY AJIACHIA INSTAGRAM

Aliekuwa mpenzi wa Naseeb Abdul 'Diamond Platinumz' mtangazaji na meneja wa vipindi wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mwingila aka VJ Penny akiwa katika pozi kwenye picha alizotupia kwenye mtandao wa…

 

9 years ago

Global Publishers

Kajala ajiachia na dada’ke diamond!

IMG_4111

Mwigizaji Kajala Masanja akiwa na Queen Darleen wakiponda raha.

Na Musa Mateja
HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza.

Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona ambapo pia kuna fununu kuwa hata familia ya...

 

11 years ago

GPL

MARIO BALOTELLI AJIACHIA NA MPENZI WAKE

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Italia na Klabu ya AC Milan, Mario Balotelli akiogelea na mpenzi wake Fanny Neguesha mjini Miami Mario Balotelli akiogelea na mpenzi wake Fanny Neguesha huku wakifurahia jambo.…

 

10 years ago

GPL

RIHANNA AJIACHIA FUKWE ZA HAWAII, MAREKANI

Mwanamuziki, Robyn Rihanna Fenty (27) 'Rihanna' akitembea akiwa kashika glasi ya juisi  katika fukwe za Hawaii, Marekani  jana Jumapili. Rihanna akijiachia na marafiki zake katika fukwe hizo. Kushoto ni rafiki yake wa karibu Melissa Forde.…

 

10 years ago

CloudsFM

Wema ajiachia Sauz na ‘’mume’’ wa Zari

Kumekuwa na sintofahamu baada ya picha za Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mume wa mpenzi wa sasa wa Diamond Platnumz,Zari,Ivan kusambaa mtandaoni wakiwa nchini Afrika Kusini.

Hiyo picha inamwonyesha wema akiwa na Ivan lakini inaonekana si picha rasmi mpango unaonekana ulikua wa siri sana kwani inaonekana kama imepigwa wahusika hawakuwa tayari.

Mashabiki wamekuwa wakijiuliza kuwa Wema ameamua kulipiza kisasi baada ya kunyang’anywa mpenzi wake na Zari? Au kuna project...

 

10 years ago

GPL

AMTOROKA BWANA’KE AJIACHIA NA MIDUME 5

Stori: RICHARD  BUKOS/Risasi
BINTI aliyefahamika kwa jina moja la Ashura, anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu, hivi karibuni alimtoroka bwana’ke na kuonekana akijiachia hovyo na wanaume watano tofauti katika Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar es Salaam kulipokuwa na onyesho la Bendi ya Taarabu ya Mashauzi Classic.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sare zaing’oa Simba ‘Zenji’

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema haoni haja ya kurejea Zanzibar kuendelea na kambi kwa mechi zijazo za Ligi Kuu, baada ya kuambulia sare katika mechi mbili mfululizo katika...

 

10 years ago

GPL

Mavugo akusanya kijiji Zenji

Straika wa Simba, Mrundi, Laudit Mavugo. Na Richard Bukos, Zanzibar
WAKATI straika wa Simba, Mrundi, Laudit Mavugo, akitarajiwa kutua kambini visiwani hapa ndani ya siku mbili hizi, mashabiki wa klabu hiyo juzi walijitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Amaan kuhudhuria mazoezi ya kikosi hicho wakiamini Mrundi huyo angekuwepo uwanjani hapo. Lakini Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amelithibitishia Championi Jumatano kuwa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani