RIHANNA AJIACHIA FUKWE ZA HAWAII, MAREKANI
![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKPTAepJtTKe7SeFc07rf3i4JNyrDnP9k-KMZuXjG04aV-5zJUO4OBOoxgl1N66LbsXSPgJbY8fmAzvzecy3mXBg/27C45851000005780imagea128_1429503269356.jpg?width=650)
Mwanamuziki, Robyn Rihanna Fenty (27) 'Rihanna' akitembea akiwa kashika glasi ya juisi katika fukwe za Hawaii, Marekani jana Jumapili. Rihanna akijiachia na marafiki zake katika fukwe hizo. Kushoto ni rafiki yake wa karibu Melissa Forde.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Sep
Rihanna amuunga mkono Kanye West aliyetangaza kuwania urais wa Marekani 2020
5 years ago
Herald (Subscription)22 Mar
HVNP closed to all visitors - Hawaii Tribune
9 years ago
Patch.Com17 Oct
Sister Vera Krass, MM: Missioner to Tanzania, Hawaii
Patch.com
Sister Vera Krass, MM, a teacher, secretary, home visitor, volunteer in Tanzania and Hawaii, died October 14, 2015, at Maryknoll Sisters Center, Ossining, NY. She was 88 years old. Born on August 22, 1927, in Jamaica, NY, to Theodore and Lydia Loffler ...
5 years ago
The New York Times16 Feb
A Hunt for Clues in Hawaii After a Tourist Couple Falls Ill With Coronavirus
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXz1wS4ZM-LCxPWeNPkN4V4G1TFDRKcuh1lyKif03QPsI4GSansNSeSH9yHvEjpn20e7WrMMmVJpBDx7DEO-7Ltu/PENNY1.jpg)
VJ PENNY AJIACHIA INSTAGRAM
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYteqVIgNzIBFm4tT8di2cLrDAq-zweaMPvrTQJS1-8D0pZ90PReW7SIeWqerCP0*LI-WFn1vg3ZcXNZ-xOr-Gvl/mlela1.jpg?width=650)
MLELA AJIACHIA NA SHOMBESHOMBE ZENJI
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Kajala ajiachia na dada’ke diamond!
Mwigizaji Kajala Masanja akiwa na Queen Darleen wakiponda raha.
Na Musa Mateja
HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza.
Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona ambapo pia kuna fununu kuwa hata familia ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRs5-pkQHqKdb*MAkjKx2F7Iw6qtBvdluK*Cs8o4kJf6XySWXSTI90z2DnS8pRWeeu7AGc-uioc3JhRBLpQKA8K/BALOTELLI5.jpg?width=650)
MARIO BALOTELLI AJIACHIA NA MPENZI WAKE
10 years ago
CloudsFM09 Feb
Wema ajiachia Sauz na ‘’mume’’ wa Zari
Kumekuwa na sintofahamu baada ya picha za Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mume wa mpenzi wa sasa wa Diamond Platnumz,Zari,Ivan kusambaa mtandaoni wakiwa nchini Afrika Kusini.
Hiyo picha inamwonyesha wema akiwa na Ivan lakini inaonekana si picha rasmi mpango unaonekana ulikua wa siri sana kwani inaonekana kama imepigwa wahusika hawakuwa tayari.