Kajala ajiachia na dada’ke diamond!
Mwigizaji Kajala Masanja akiwa na Queen Darleen wakiponda raha.
Na Musa Mateja
HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza.
Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona ambapo pia kuna fununu kuwa hata familia ya...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies22 Nov
Diamond, Kajala Mahaba Niue!
NI gumzo! Ubuyu motomoto ambao unasambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu mjini unadai kuwa, staa nambari moja Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwigizaji Kajala Masanja wamedaiwa kuwa ni wapenzi na sasa ni mahaba niue, Risasi Jumamosi limesheheni full stori.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, uhusiano wa Diamond na Kajala unadaiwa kuibuka ghafla miezi kadhaa iliyopita lakini wamekuwa wakifanya siri nzito kabla ya hivi karibuni kukolea zaidi baada ya mpenzi...
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
Picha: Kajala Akijiachia na Dada Yake Diamond!
HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza.
Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona ambapo pia kuna fununu kuwa hata familia ya Diamond imebariki uhusiano wake na Mbongo Fleva huyo na wanampa ushirikiano wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXz1wS4ZM-LCxPWeNPkN4V4G1TFDRKcuh1lyKif03QPsI4GSansNSeSH9yHvEjpn20e7WrMMmVJpBDx7DEO-7Ltu/PENNY1.jpg)
VJ PENNY AJIACHIA INSTAGRAM
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYteqVIgNzIBFm4tT8di2cLrDAq-zweaMPvrTQJS1-8D0pZ90PReW7SIeWqerCP0*LI-WFn1vg3ZcXNZ-xOr-Gvl/mlela1.jpg?width=650)
MLELA AJIACHIA NA SHOMBESHOMBE ZENJI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKPTAepJtTKe7SeFc07rf3i4JNyrDnP9k-KMZuXjG04aV-5zJUO4OBOoxgl1N66LbsXSPgJbY8fmAzvzecy3mXBg/27C45851000005780imagea128_1429503269356.jpg?width=650)
RIHANNA AJIACHIA FUKWE ZA HAWAII, MAREKANI
10 years ago
CloudsFM09 Feb
Wema ajiachia Sauz na ‘’mume’’ wa Zari
Kumekuwa na sintofahamu baada ya picha za Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mume wa mpenzi wa sasa wa Diamond Platnumz,Zari,Ivan kusambaa mtandaoni wakiwa nchini Afrika Kusini.
Hiyo picha inamwonyesha wema akiwa na Ivan lakini inaonekana si picha rasmi mpango unaonekana ulikua wa siri sana kwani inaonekana kama imepigwa wahusika hawakuwa tayari.