Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpenzi wako ‘kicheche’

NI matumaini yangu msomaji wa safu hii -mzima wa afya.  Leo nitaelezea jinsi ya kuzungumza na mpenzi wako pindi unapomuona anawatamani wasichana wengine pindi unapokuwa naye kwenye mkusanyiko wa watu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!

Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,unaweza kuvaa chupi ya mpenzi wako?

Chupi inayoweza kuvaliwa na watu wa jinsia zote sasa imeanza kuuzwa madukani nchini Marekani.

 

10 years ago

GPL

UNAKUNJAJE USO KWA MPENZI WAKO?

SIKU zinakimbia kwelikweli kuelekea mwisho wa mwaka, dunia ikijiandaa kwa ajili ya sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo, yapata zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Wenyewe wanaita Krismas. Ni kipindi ambacho pia akina baba wanapunguza idadi ya michepuko kutokana na wingi wa mahitaji na akina mama nao wanaongeza orodha ya ATM ili wanone zaidi!
Uongo? Kama utaamua kunikatalia sitakulaumu kwa sababu huenda wewe ni mmoja...

 

9 years ago

Bongo5

Je unamwamini mpenzi wako kiasi gani?

Black-woman-white-man

Unamwamini mpenzi wako? Mfano ni huu hapa, Je anaweza kwenda likizo wakati wewe haipo likizo? Je unaweza kumruhusu kutoka na ex wake? Au ikitokea amekutana na ex wake mtaani kwa bahati mbaya na wewe ukiwepo unajisikiaje?

Black-woman-white-man

Au unaweza ukamwachia simu yako na usiwe na presha? Hayo maswali yanaweza kukujulisha akilini mwako ni kiasi gani unamwamini mpenzi wako. Kama humwamini mpenzi wako namna utakavyoitikia mambo hayo yanapotokea kuna ishara ambazo zitajulikana wazi kwamba humwamini hata kama...

 

10 years ago

Mwananchi

UHUSIANO: Mambo 11 ya kukuashiria mpenzi wako si mwaminifu

>Kila mmoja atakubaliana na mimi kwamba mahusiano baina ya wapendanao kwa kawaida yanakusudia kuwa ya upendo, maelewano, kuaminiana na urafiki wa hali ya juu ingawa hali halisi siyo hiyo katika uhusiano wa wengi.  Wengi wetu wameumizwa kwa mapenzi.

 

11 years ago

GPL

UNAKUMBUKA AHADI YAKO KWA MPENZI WAKO?-2

KARIBUNI katika Let’s Talk About Love. Bila shaka mu wazima wa afya. Tunaendelea na mada yetu iliyoanza wiki iliyopita. Somo hili ni muhimu sana kwa wapendanao kujua ahadi ambazo zinaweza kuwa na nakshi katika mapenzi na zile ambazo huleta migogoro katika uhusiano. Niliacha kwa kueleza machache wiki iliyopita. Ahadi zenyewe ni zipi na zinakuwaje? Tuendelee na somo letu? UWEZO WA FAMILIA
Baadhi ya wanaume wanapokutana na...

 

10 years ago

GPL

KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO?-2

“Ndugu mwandishi, nakupongeza kwa mada yako nzuri lakini nasikitika kwamba umeandika kwa kuegemea upande mmoja tu. Ni kweli siyo vizuri kupekua simu ya mwenzi wako lakini je, pale unapopekua na kufuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mwenzi wako, nani mwenye makosa? Wewe uliyepekua au yeye anayekusaliti?” Nimeamua kuanza kwa staili tofauti leo, huo hapo juu ni ujumbe nilioupata kutoka kwa msomaji wangu mmoja baada ya...

 

10 years ago

GPL

KUNA UMUHIMU WA KUMFUATILIA, KUMCHUNGUZA MPENZI WAKO?

UHALI gani mpenzi msomaji wa safu yetu ya Show the Love. Bila shaka uko vizuri na kama pia ni mgonjwa, nakuombea kwa Mungu akutie nguvu upone haraka.Tukilifungua jamvi letu la leo, kama linavyojinasibu hapo juu katika kichwa cha habari. Mapenzi ni hisia, kuna tafsiri ambayo inasema mtu asipokufuatilia, asipokuchunguza katika mapenzi basi hakupendi. Watu utawasikia wakisema, lazima umfuatilie mpenzi wako ili ujue nyendo zake...

 

11 years ago

GPL

UNAKUMBUKA AHADI YAKO KWA MPENZI WAKO?

BILA shaka ni wazima wa afya njema na mnaendelea na majukumu yenu kama kawaida. Nawashukuru sana kwa kuchagua kusoma safu hii maana hakuna kitakachopotea, zaidi mtaongeza ujuzi juu ya uhusiano na mapenzi. Mada ya wiki iliyopita ilikuwa na changamoto sana kwa wasomaji, nilipokea simu, waraka pepe na ujumbe mfupi wa maneno kwa wingi sana kutoka kwa wasomaji mbalimbali wakichangia mada ambayo kimsingi ilizungumzia zaidi wanawake....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani