Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


"NDOTO TEJA" Filamu mpya to Gonga Entertainment. Inaongelea kuhusu madawa ya kulevya.

Swahili

"Ndoto Teja" ni mtiririko wa "Short Films" ambao unatengenezwa na Director Frank 'Gonga' Mgoyo ambao umeanza na "NDOTO TEJA - DRUGS" Filamu fupi hii inaonyesha ni jinsi gani vijana wanaharibikiwa kwa matumizi ya madawa ya kulevya ambayo huanzia kwenye unywaji POMBE, Uvutaji BANGI na mpaka kuingia kwenye utumiaji wa MADAWA YA KULEVYA. "NDOTO TEJA" ni neno ambalo lina maanisha kuwa, ukiweza kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na hata ukiamua kuacha na kwenda REHAB, maisha...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ALICHOKISEMA RAY C KUHUSU KUKAMATWA KWA CHIDI BENZ NA MADAWA YA KULEVYA

“Pole kaka yangu Chidi Benz,Naumia kuona tatizo uliokuwa nalo bado haujalitaftia jibu unalijua la kutatua tatizo lako,Mimi ni dada yako natumeshafanya kazi Pamoja,Tatizo ulilonalo na Mimi nilishakuwa nalo na niliweza kulitatua sababu nilijitambua na
kutafuta suluhu,nimejaribu kila njia kukushauri badala yake ukaja na rungu la kimasai na kunitandika nalo nyumbani kwangu!nadhani janga hili lililokukuta litakuwa Kama jibu kwako kwamba
unakoenda si salama kabisa kaka yangu ni bora ubadilishe njia...

 

11 years ago

GPL

SERIKALI IACHE BLAHBLAH KUHUSU MTANDAO WA NGONO, MADAWA YA KULEVYA CHINA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe. WIKI iliyopita Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe alieleza bungeni kwamba serikali imeshafanikiwa kunasa mtandao wa watu wanaojihusisha na kusafirisha wasichana wa Kitanzania kwenda China kwa ajili ya kuwafanyisha biashara ya ngono. Taarifa hiyo, Chikawe aliitoa Ijumaa iliyopita wakati akihitimisha michango mbalimbali ya wabunge kuhusu bajeti ya wizara yake kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Ukweli Kuhusu Tevez Aliyekatwa Uume Wake Baada ya Kuwazulumu Madawa ya Kulevya Wenzake

HABARI ZA UHAKIKA JUU YA SAKATA LA JUMAANNE TEVEZ. Nikweli kwamba huyu bwana yuko South Africa Pretoria. Bwana Tevez alodhaminiwa mzigo na vijana wenzake huko Bondeni kwamba akauze kisha alete Mpunga. Mdhamini alikuwa ni Kijana wa Kibongo anayeonekana pichani anayeitwa Jeff Katili mtoto wa Ilala ambaye maskani yake ni South. TEVEZ baada ya kuchukua mzigo uliokuwa na thamani ya takriban milioni mia moja na hamsini (150,000,000/=) aliingia mitini hakurudi tena. Kilichotokea Jeff baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge Ndungulile aanika siri mpya za matumizi ya madawa ya kulevya kwa watoto wadogo

Mgeni rasmi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kigamboni Ndugu Faustine Ndungulile akifungua rasmi Baraza la kazi la UVCCM (W) Temeke mbele ya Wajumbe (hawapo pichani) lililofanyika kwenye ukumbi wa Malaika uliopo Kata ya vijibweni, Jimbo la Kigamboni. Picha na Emmanuel J. Shilatu --------------------------------------- Na Emmanuel J. Shilatu Mbunge wa Kigamboni Mhe. Faustine Ndungulile ameanika siri na aina mpya ya wauzaji wa madawa ya kulevya wanayoitumia katika kupanua wigo wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014

PIX 1

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI YA KUSIKITISHA NA KUTISHA KUHUSU VIJANA WETU WANAOKWENDA CHINA NA HONGKONG KUUZA MADAWA YA KULEVYA SOMA HABARI KAMILI LIVE!

Mkurugenzi wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP), Godfrey Nzowa.Magareza mbalimbali ya China, Hong Kong na Macau yamefurika Watanzania wanaojihusisha na dawa za kulevya.Wanakuja kwa makundi. Wake kwa waume, vijana kwa wazee, wenye elimu na historia tofauti za kimaisha... lakini kilichowaleta China, Hong Kong na Macau ni kimoja tu; biashara ya dawa za kulevya. Hawa ni zaidi ya Watanzania 130 ambao wamefungwa katika magereza mbalimbali kwenye nchi za...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MPYA WA UCHUKUZI SAMUEL SITTA ALIKUTANA ANA KWA ANA NA WADADA WALIOKAMATWA BAADA YA KUKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA

Akiwa kwenye ziara ya kutembelea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Waziri mpya wa uchukuzi Samuel Sitta jana alikutana ana kwa ana na wadada waliokamatwa baada ya kukutwa na madawa ya kulevya aina ya heroin waliyomeza tayari kuyasafirisha kwenda Hong Kong kwa ndege ya Emirates. Wadada hao wawili Rehema Ndunguru (32) mkazi wa Sinza mpaka wakati huo alikwishatoa pipi 78 wakati mtuhumiwa mwenzake Moyo Ramadhanialikwishatoa pipi 86 ambapo kazi ya kuwachunguza ilikuwa...

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2

Madawa ya kulevya aina ya bangi. WIKI iliyopita tulijadili kwa urefu madhara ya madawa ya kulevya kiafya.
Tulifafanua kwa urefu kuhusu madawa aina ya kokaine na heroine na tukataja madhara yanayowapata watumiaji wa mihadharati hiyo.
Leo tunaendelea kuchambua mimea aina ya bangi na mirungi ambayo hapa nchini inahesabika kuwa ni madawa ya kulevya. Bangi
Bangi ina madhara kiafya na ndiyo maana serikali imeupiga marufuku mmea...

 

10 years ago

GPL

MADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA

Stori:  Shakoor Jongo na  Makongoro Oging’
NIkweli kimenuka! Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ yupo kikaangoni, habari zinadai kwamba kila anaponyanyua miguu, kikosi cha kupambana na kuzuia madawa ya kulevya nchini chini ya kamishna wake, Godfrey Nzowa nao wananyanyua miguu yao kumfuatilia, Amani limesheheni. Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akipozi.
Habari za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani