Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bolt kushindana na Gutlin wa Marekani

Usain Bolt hana tatizo la kushindana dhidi ya Justin Gatlin kwa kuwa anahisi kwamba marufuku ya miaka minne aliyopewa ilikuwa ya haki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Tunakwenda Congo kushindana au kushiriki?

KUNA wakati nawaza mambo kwa kina lakini majibu sipati.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

TANZANIA INAENDA KUSHIRIKI, SI KUSHINDANA

Mshindi wa Shindano la Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa, Jumamosi ya wiki iliyopita, alikwea pipa kuelekea jijini London, Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World, yanayotarajiwa kutimua vumbi Desemba 14, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Excel London. Mshindi wa Shindano la Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa. MAANDALIZI HAFIFU…
...

 

9 years ago

Bongo Movies

Gabo:Sijaona Muigizaji wa Kushindana Naye

Msanii wa filamu aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Salim Ahmed maarufu kwa jina la Gabo amesema haoni msanii anayempa changamato.

Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gabo alisema wengi wamekuwa wakimwambia anaringa kutokana na kuwaambia ukweli.

“Kwa hapa Tanzania sijui ndio maana wanasema mimi naringa,” alisema Gabo alipoulizwa ni msanii gani anayempa changamoto.

“Nyuma alikuwa Single Mtambalike, sasa hivi sijaona wa kumtazama na kunipa changamoto tuweze...

 

5 years ago

Michuzi

KLABU TISA KUSHINDANA MASHINDANO YA TALISS-IST


Muogeleaji Singko Steiner wa Taliss-IST akishindana


Dar es Salaam. Jumla ya klabu tisa zitashiriki katika mashindano ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki) jijini.

Klabu hizo zitatoa jumla ya waogeleaji 228 ambao watashindana katika staili tano pamoja na relai kwa mujibu wa Meneja wa taliss-IST- Hadija Shebe.

Hadija alizitaja klabu hizo na ida ya waogeleaji wake kwenye mabano kuwa ni ...

 

9 years ago

Mtanzania

Frida wa BSS: Mazingira yanakwamisha wasichana kushindana

FRIDA AMANI BSSMSHINDI wa tatu katika shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Frida Aman, amesema mazingira magumu na tamaduni kandamizi ndizo zinazochangia kumkandamiza msichana hasiweze kushindana na wanaume katika kila jambo ikiwemo muziki.

Alisema anaamini mazingira wanayopitia wasichana yangekuwa yanapitiwa na wavulana hali za ushindani zingekuwa sawa, lakini wasichana wengi wanaonekana kushindwa kwenda na kasi ya wavulana kwa kuwa tu mazingira yao yanatofautiana sana.

“Mimi naweza kutaka kujifunza...

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi 2015; wanawake watengenezewe mazingira rafiki ya kushindana

Wakati uchaguzi wa vyama vingi uliporejeshwa mwaka 1995, ni wanawake wachache sana walionyesha nia ya kuwania nafasi za uongozi, iwe za udiwani, ubunge na hata urais.

 

10 years ago

Mwananchi

Usain Bolt kuzuru Tanzania

 Mwanariadha nyota na bingwa wa dunia wa mita 100, Usain Bolt  kutoka Jamaica amealikwa kushiriki mbio za kimataifa za FBI zitakazofanyika kwa mara ya kwanza nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Siri ya kasi ya Bolt yafichuliwa

Wanasayansi wanasema kwamba wanaweza kueleza kasi ya mwanariadha maarufu sana duniani Usain Bolt inatokana na nini kwa kutumia hisabati au hesabu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani