Bolt kushindana na Gutlin wa Marekani
Usain Bolt hana tatizo la kushindana dhidi ya Justin Gatlin kwa kuwa anahisi kwamba marufuku ya miaka minne aliyopewa ilikuwa ya haki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Tunakwenda Congo kushindana au kushiriki?
KUNA wakati nawaza mambo kwa kina lakini majibu sipati.
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8bPitOU*KnfK1BhX61*CtTHbKjDs*WBUQo9GoBxtyuJg9r0sd9IqB6Ow8zE84sxMOSoQa0pEk4y2xYs1G9tPtYR/miss.jpg)
TANZANIA INAENDA KUSHIRIKI, SI KUSHINDANA
9 years ago
Bongo Movies21 Aug
Gabo:Sijaona Muigizaji wa Kushindana Naye
Msanii wa filamu aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Salim Ahmed maarufu kwa jina la Gabo amesema haoni msanii anayempa changamato.
Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gabo alisema wengi wamekuwa wakimwambia anaringa kutokana na kuwaambia ukweli.
“Kwa hapa Tanzania sijui ndio maana wanasema mimi naringa,” alisema Gabo alipoulizwa ni msanii gani anayempa changamoto.
“Nyuma alikuwa Single Mtambalike, sasa hivi sijaona wa kumtazama na kunipa changamoto tuweze...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0mRuQzDWRp0/XkxBxHslP3I/AAAAAAALeGI/kprwfUEstoc96BRM-PlBsTsUNlNdqdBXwCLcBGAsYHQ/s72-c/3-1024x652.jpeg)
KLABU TISA KUSHINDANA MASHINDANO YA TALISS-IST
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mRuQzDWRp0/XkxBxHslP3I/AAAAAAALeGI/kprwfUEstoc96BRM-PlBsTsUNlNdqdBXwCLcBGAsYHQ/s640/3-1024x652.jpeg)
Muogeleaji Singko Steiner wa Taliss-IST akishindana
Dar es Salaam. Jumla ya klabu tisa zitashiriki katika mashindano ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki) jijini.
Klabu hizo zitatoa jumla ya waogeleaji 228 ambao watashindana katika staili tano pamoja na relai kwa mujibu wa Meneja wa taliss-IST- Hadija Shebe.
Hadija alizitaja klabu hizo na ida ya waogeleaji wake kwenye mabano kuwa ni ...
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Frida wa BSS: Mazingira yanakwamisha wasichana kushindana
MSHINDI wa tatu katika shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Frida Aman, amesema mazingira magumu na tamaduni kandamizi ndizo zinazochangia kumkandamiza msichana hasiweze kushindana na wanaume katika kila jambo ikiwemo muziki.
Alisema anaamini mazingira wanayopitia wasichana yangekuwa yanapitiwa na wavulana hali za ushindani zingekuwa sawa, lakini wasichana wengi wanaonekana kushindwa kwenda na kasi ya wavulana kwa kuwa tu mazingira yao yanatofautiana sana.
“Mimi naweza kutaka kujifunza...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Uchaguzi 2015; wanawake watengenezewe mazingira rafiki ya kushindana
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Usain Bolt kuzuru Tanzania
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Siri ya kasi ya Bolt yafichuliwa