SITTA HUU NDIYO WAKATI MUAFAKA
![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGKG4IqVHmRBgFwIR8nPsFPR8rn5Y2GWQvW3kjbDgPkUBWP2ai*kETk*IS7QrzAXtGkdDbxxathVlGmbCAQevJ2/sitta.jpg?width=650)
KAMA inavyokuwa siku zote, siwezi kusema lolote na nyinyi pasipo kwanza kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kufika hapa tulipo leo. Yeye ndiye bingwa wa miujiza na hakika kwake, hakuna lisilowezekana. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba, Mh. Samuel John Sitta . Baada ya kusema hayo, niwashukuru sana Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Jaji Joseph Sinde Warioba kwa hotuba zao nzuri walizozitoa mbele ya Bunge...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Ni wakati muafaka kwa Azam FC, Yanga kuanza mikakati kimataifa
KIVUMBI cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kilichoanza Agosti 24, mwaka jana, kimemalizika Aprili 19, mwaka huu; kwa Azam FC kutwaa ubingwa kwa mara ya kwanza tangu ilipoundwa Juni...
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu
Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.
"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Je, huu ndiyo mwanzo wa mwisho?
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Haya ndiyo yatakayotokea mwaka huu
KWA miaka kadhaa, makala zangu za wiki ya mwanzo wa mwaka huzungumzia matukio mbalimbali yanayota
Evarist Chahali
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Huu ndiyo Ujumbe wa JB Kwa Wachepukaji
Kadri unavyo jitahidi kuitunza na kuijali nyumba ndogo...ndivyo unavyo hatarisha ndoa yako..Sababu namba mbili wote hutamani kuwa namba moja..Tafakari chukua hatua...Michepuko sio dili....
By Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on instagram
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-8TcaJNlwDJw/VRL3QoFxrNI/AAAAAAADdmU/99b6XR_juX4/s72-c/Msuva-423x400.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Apr
Sitta: Huu ni mtaji wangu wa urais
10 years ago
Mtanzania11 May
Lowassa: Huu ni wakati wetu wa kukimbia
NA MWANDISHI WETU, TABORA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani.
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia katika sherehe za Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu na miaka 40 ya upadri ya Askofu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora.
Kwa mujibu wa Lowassa, elimu ya Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba njia sahihi ya...