Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SITTA HUU NDIYO WAKATI MUAFAKA

KAMA inavyokuwa siku zote, siwezi kusema lolote na nyinyi pasipo kwanza kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kufika hapa tulipo leo. Yeye ndiye bingwa wa miujiza na hakika kwake, hakuna lisilowezekana. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba, Mh. Samuel John Sitta . Baada ya kusema hayo, niwashukuru sana Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Jaji Joseph Sinde Warioba kwa hotuba zao nzuri walizozitoa mbele ya Bunge...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ni wakati muafaka kwa Azam FC, Yanga kuanza mikakati kimataifa

KIVUMBI cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kilichoanza Agosti 24, mwaka jana, kimemalizika Aprili 19, mwaka huu; kwa Azam FC kutwaa ubingwa kwa mara ya kwanza tangu ilipoundwa Juni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu

Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.

 

"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke  nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, huu ndiyo mwanzo wa mwisho?

Upo msemo wa lugha ya Kiingereza ambao tafsiri yangu ambayo si rasmi ni “mwanzo wa mwisho” wao husema ‘‘the beginning of the end’’.

 

9 years ago

Raia Mwema

Haya ndiyo yatakayotokea mwaka huu

KWA miaka kadhaa, makala zangu za wiki ya mwanzo wa mwaka huzungumzia matukio mbalimbali yanayota

Evarist Chahali

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu ndiyo Ujumbe wa JB Kwa Wachepukaji

Kadri unavyo jitahidi kuitunza na kuijali nyumba ndogo...ndivyo unavyo hatarisha ndoa yako..Sababu namba mbili wote hutamani kuwa namba moja..Tafakari chukua hatua...Michepuko sio dili....

By Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on instagram

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA JUU HUU NDIYO MSIMAMO WA VPL

Na Msavu ndiyo anaongoza kwa ufungaji mabao kwenye ligi hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta: Huu ni mtaji wangu wa urais

>Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema anasubiri kukamilika kwa utaratibu wa CCM wa kugombea urais ili aingie rasmi kwenye mbio hizo kwa kuwa anaridhika na mambo matatu ambayo anasema yanamfanya ashawishike kugombea nafasi hiyo ya juu katika siasa nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Huu ni wakati wetu wa kukimbia

NA MWANDISHI WETU, TABORA

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani.

Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia katika sherehe za Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu na miaka 40 ya upadri ya Askofu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora.

Kwa mujibu wa Lowassa, elimu ya Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba njia sahihi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani