Lowassa: Huu ni wakati wetu wa kukimbia
NA MWANDISHI WETU, TABORA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani.
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia katika sherehe za Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu na miaka 40 ya upadri ya Askofu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora.
Kwa mujibu wa Lowassa, elimu ya Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba njia sahihi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s72-c/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
SADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FnjokKDxTkg/XtE3B-Q93VI/AAAAAAALr_o/DhbkPq6-w9oZsmtzB_xS0KFohNbTSPJVwCLcBGAsYHQ/s640/bc809ac7-1da2-4791-b00f-3cdb4e658935.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f39496bc-01a4-4591-a8ab-17393cc498ca.jpg)
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f5ccf190-c862-4551-b8ae-0477f46a625d.jpg)
Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/maxresdefault.jpg?width=650)
CCM; HUU SI WAKATI WA KUMSEMA LOWASSA NI WA MABADILIKO
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Mawakala, kulinda kura na kukimbia midahalo ni kielelezo kamili cha ujinga wetu kisiasa
DEMOKRASIA ni dhana pana ambayo hutafsiriwa tofauti katika mazingira tofauti.
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi12 Sep
UCHAMBUZI WA LIGI KUU BORA: Coastal Union, wakati wa kukimbia na siyo kutembea
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hSJwfFpvS8I/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Ni Wakati Wetu Wasanii Kusimama- Steve Nyerere
~~MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu wana nafasi kubwa katika uongozi kwa ni kivutio cha wapiga kura kwa mantiki ni wakati wao kushiriki katika hatamu za uongozi, na kujiandikisha katika daftari la mpiga kura.
"Ni kweli tunahitaji mabadiliko katika utawala lakini hilo litafanikiwa tu pale tutaposhiriki kujiandikisha katika Daftari la mpiga kura, kama nilivyosema badala ya kusimama badala ya mgombea sasa tunasimama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK7odhBrD11M7gQjT88GwXcTaYGsPshD6nc2HqrcLR6UZbVTINqezXp6tbLaBvex6I7NIkTAgLmOjqz3LlEJWKoV/mahba.jpg?width=650)
WAKATI MWINGINE TUKUBALI WAPENZI WETU ‘WATUCHUNE’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AFie06AUli0/XvNAmIL-BeI/AAAAAAALvPs/cVXuCyZESEAfTCtCmRn-PUsPiUmSl9r6wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-24%2Bat%2B2.34.50%2BPM.jpeg)
SASA NI WAKATI KUWAPA BURUDANI ZA KINYUMBANI ZAIDI WATAZAMAJI WETU-TIDO MHANDO
- Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.
KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.
"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGKG4IqVHmRBgFwIR8nPsFPR8rn5Y2GWQvW3kjbDgPkUBWP2ai*kETk*IS7QrzAXtGkdDbxxathVlGmbCAQevJ2/sitta.jpg?width=650)
SITTA HUU NDIYO WAKATI MUAFAKA