CCM; HUU SI WAKATI WA KUMSEMA LOWASSA NI WA MABADILIKO
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/maxresdefault.jpg?width=650)
RAIS wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kuwaambia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa, wananchi wanataka mabadiliko, akasema wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. Maneno haya ya Mwalimu ni nguzo ya CCM, kwamba uhai wa chama hicho hautatokana tena na ukongwe wake bali mfumo wa mabadiliko ambao rais wa kwanza aliuona kuwa ndiyo kiu ya wananchi wengi hivi sasa. Kiu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 May
Lowassa: Huu ni wakati wetu wa kukimbia
NA MWANDISHI WETU, TABORA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani.
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia katika sherehe za Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu na miaka 40 ya upadri ya Askofu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora.
Kwa mujibu wa Lowassa, elimu ya Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba njia sahihi ya...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Lowassa: Mimi ndiyo nitaleta mabadiliko CCM
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Ni wakati wa wasomi kushiriki mabadiliko chanya
KIONAMBALI alikuwa akisoma kitu kwenye mtandao. Mwandishi wa kitu kile alikuwa anasema kwamba wanafunzi wenye akili nyingi husoma na kuwa wahandisi. Wenye akili za wastani husoma na kuwa wahasibu na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGKG4IqVHmRBgFwIR8nPsFPR8rn5Y2GWQvW3kjbDgPkUBWP2ai*kETk*IS7QrzAXtGkdDbxxathVlGmbCAQevJ2/sitta.jpg?width=650)
SITTA HUU NDIYO WAKATI MUAFAKA
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Lowassa na kaulimbiu ya mabadiliko
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Ronaldo akana kumsema vibaya Messi
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Lowassa: Wanawake nguzo ya mabadiliko
5 years ago
BBCSwahili23 May
Hali ikoje misikitini wakati huu wa janga la corona?