Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM; HUU SI WAKATI WA KUMSEMA LOWASSA NI WA MABADILIKO

RAIS wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kuwaambia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa, wananchi wanataka mabadiliko, akasema wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. Maneno haya ya Mwalimu ni nguzo ya CCM, kwamba uhai wa chama hicho hautatokana tena na ukongwe wake bali mfumo wa mabadiliko ambao rais wa kwanza aliuona kuwa ndiyo kiu ya wananchi wengi hivi sasa. Kiu ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Huu ni wakati wetu wa kukimbia

NA MWANDISHI WETU, TABORA

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani.

Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia katika sherehe za Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu na miaka 40 ya upadri ya Askofu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora.

Kwa mujibu wa Lowassa, elimu ya Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba njia sahihi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mimi ndiyo nitaleta mabadiliko CCM

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana alisema kuwa muda wa mabadiliko aliyotabiri Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere ni sasa na kwamba yeye ndiye anayeweza kuyaongoza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni wakati wa wasomi kushiriki mabadiliko chanya

KIONAMBALI alikuwa akisoma kitu kwenye mtandao. Mwandishi wa kitu kile alikuwa anasema kwamba wanafunzi wenye akili nyingi husoma na kuwa wahandisi. Wenye akili za wastani husoma na kuwa wahasibu na...

 

11 years ago

GPL

SITTA HUU NDIYO WAKATI MUAFAKA

KAMA inavyokuwa siku zote, siwezi kusema lolote na nyinyi pasipo kwanza kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kufika hapa tulipo leo. Yeye ndiye bingwa wa miujiza na hakika kwake, hakuna lisilowezekana. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba, Mh. Samuel John Sitta . Baada ya kusema hayo, niwashukuru sana Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Jaji Joseph Sinde Warioba kwa hotuba zao nzuri walizozitoa mbele ya Bunge...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa na kaulimbiu ya mabadiliko

Ilikuwa miaka, mwaka, miezi na sasa zimesalia siku chache kabla ya mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa kujua hatima ya “Safari ya Matumaini” aliyoianza takriban miaka 20 iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo akana kumsema vibaya Messi

Cristiano Ronaldo amekataa shutma kuwa amemsema vibaya kinara mwenzie katika kabumbu, Lionel Messi.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko

Mgombea urais wa Chadema, anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo manne atakayoshughulikia endapo wananchi watamchagua kuongoza Taifa akisema mambo hayo ndiyo msingi wa mabadiliko.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Wanawake nguzo ya mabadiliko

Mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa amesema mabadiliko katika Taifa hili ni jambo la lazima na linalohitaji nguvu ya wanawake ili kulifanikisha kwa maendeleo ya Watanzania wote.

 

5 years ago

BBCSwahili

Hali ikoje misikitini wakati huu wa janga la corona?

Hali ikoje misikitini wakati huu wa janga la corona ambapo tayari wengine wameanza kusherehekea sikukuu ya Eid?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani