Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Wanawake nguzo ya mabadiliko

Mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa amesema mabadiliko katika Taifa hili ni jambo la lazima na linalohitaji nguvu ya wanawake ili kulifanikisha kwa maendeleo ya Watanzania wote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TAMASHA LA WANAWAKE KUJA NA MABADILIKO

Mkurugenzi Mtendaji wa  Kampuni ya Trumark (katikati) Agnes Mgongo (anayezungumza,wa pili kushoto)  Elias Barnaba msanii  (wa kwanza kushoto) na  Anty Mandoza,  mratibu mkuu wa warsha hiyo. Bango lenye ujumbe wa Siku ya Wanawake Duniani.…

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA WANAWAKE KUJA NA MABADILIKO

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Trumark (katikati) Agnes Mgongo (anayezungumza,wa pili kushoto) Elias Barnaba msanii (wa kwanza kushoto) na Anty Mandoza, mratibu mkuu wa warsha hiyo.Bango lenye ujumbe wa Siku ya Wanawake Duniani.Wanahabari wakifuatilia tukio hilo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Elias Barnaba, akizungumza namna atakavyowaburudisha wanawake siku hiyo.
WAKATI zimebaki siku chache kufikia kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa na kaulimbiu ya mabadiliko

Ilikuwa miaka, mwaka, miezi na sasa zimesalia siku chache kabla ya mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa kujua hatima ya “Safari ya Matumaini” aliyoianza takriban miaka 20 iliyopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko

Mgombea urais wa Chadema, anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo manne atakayoshughulikia endapo wananchi watamchagua kuongoza Taifa akisema mambo hayo ndiyo msingi wa mabadiliko.

 

10 years ago

GPL

CCM; HUU SI WAKATI WA KUMSEMA LOWASSA NI WA MABADILIKO

RAIS wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kuwaambia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa, wananchi wanataka mabadiliko, akasema wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM. Maneno haya ya Mwalimu ni nguzo ya CCM, kwamba uhai wa chama hicho hautatokana tena na ukongwe wake bali mfumo wa mabadiliko ambao rais wa kwanza aliuona kuwa ndiyo kiu ya wananchi wengi hivi sasa. Kiu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mimi ndiyo nitaleta mabadiliko CCM

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana alisema kuwa muda wa mabadiliko aliyotabiri Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere ni sasa na kwamba yeye ndiye anayeweza kuyaongoza.

 

11 years ago

Michuzi

UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII

DSC_0017 Pichani ni  Mwandishi wa habari na mpiga picha kutoka Ufaransa, Pierre-Yves Ginet akizungumza na wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali za jijini Dar es Salaam na kuwaonyesha picha na kuwapa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ambayo wakinamama wamekuwa wakifanya kwa mustakabali kwa kuleta usawa na haki za wanawake duniani.

Shirika la Ufaransa la Alliance Francaise de Dar es Salaam liliandaa safari ya maonyesho iliyopewa jina “women in Resistance by the talented French photo-journalist...

 

11 years ago

GPL

UMOJA WA MATAIFA WASISITIZA UMUHIMU WA KUWA NA UTAMADUNI MZURI WA KUENZI WANAWAKE WANAOLETA MABADILIKO KWENYE JAMII‏

Picha juu na chini ni Mwandishi wa habari na mpiga picha kutoka Ufaransa, Pierre-Yves Ginet akizungumza na wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali za jijini Dar es Salaam na kuwaonyesha picha na kuwapa ufafanuzi wa mambo mbalimbali ambayo wakinamama wamekuwa wakifanya kwa mustakabali kwa kuleta usawa na haki za wanawake duniani.…

 

10 years ago

Mtanzania

Wanawake walalamikakwa mke wa Lowassa

Pg 22 sept 18Na Mwandishi Wetu, Meatu

WANAWAKE wilayani Meatu mkoani Simiyu wamelalamikia kitendo cha kuuziwa kadi za kliniki Sh 3,000, wanapokwenda kupata huduma ya kupimwa.

Hali hiyo, imesababisha wajawazito wengi washindwe kuhudhuria kniliki kwa sababu ya kukosa fedha. Wakizungumza kwa masikitiko mbele ya mke wa mgombea urais kwa wa Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa,mama Regina Lowassa, akina mama hao walisema wanashindwa kuanza kliniki kutokana na gharama kubwa.

Walisema baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani