Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa Aamua kukimbia kuonyesha kwamba yupo fiti

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA DIAMOND AREJEA KUTOKA INDIA, YUPO FITI

Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mama yake Sanura Kassim.
MUSA MATEJA/Amani HAKUNA neno linaloweza kusemwa kwa mara nyingine zaidi ya Mungu ni mwema! Kauli hiyo inakuja kwa mara nyingine baada ya mama mzazi wa Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim a.k.a Sandra kurejea nchini akiwa yupo fiti. Habari rasmi kutoka chanzo cha kuaminika zinaeleza kwamba, mama...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tunaumizwa na madai kwamba Ballali yupo hai’

Baadhi ya wanafamilia wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Daudi Ballali wamesema taarifa zilizozagaa kwamba ndugu yao huyo yupo hai hadi sasa, zinawaumiza na kuwakumbusha uchungu walioupata wakati wa kifo chake.

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Huu ni wakati wetu wa kukimbia

NA MWANDISHI WETU, TABORA

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani.

Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia katika sherehe za Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu na miaka 40 ya upadri ya Askofu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora.

Kwa mujibu wa Lowassa, elimu ya Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba njia sahihi ya...

 

11 years ago

GPL

NISHA BADO YUPO YUPO SANA

Stori: Chande Abdallah Staa mkubwa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ ameweka wazi kwamba bado yupoyupo sana linapokuja suala la kuolewa. Staa mkubwa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na mwanahabari wetu, mwigizaji huyo alisema kuwa anatambua kuwa yeye kama mwanamke aliyetimia lazima atakuja. kuolewa siku moja, lakini siyo hivi karibuni.
“Natambua mwanamke aliyetimia lazima...

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI NIKO FITI

Stori: Na Richard Bukos, Kagera NIKO fiti! Ndivyo alivyosema mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli kuudhihirishia umma kwamba yupo fiti kimazoezi. Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Magufuli akipiga push up.
Tukio hilo lililoibua…

 

10 years ago

Mwananchi

Fabiano, Naali kukimbia

Wanariadha Fabiano Joseph, Alphonce Simbu na Mary Naali ni miongoni mwa wanariadha maarufu nchini waliothibitisha kushiriki mbio za Uhuru Marathon zilizopangwa kufanyika Desemba 7 jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

Gwajima fiti, kuhojiwa leo.

Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima (pichani), anatarajiwa kuhojiwa leo na Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam katika Kituo cha Polisi cha Kati huku wasaidizi wake wakisema afya imeimarika na yupo tayari kwa mahojiano hayo.

Akizungumza na NIPASHE Mwanasheria wa Askofu Gwajima, Paul Mallya, alisema jana kuwa mteja wake afya yake imeimarika na yupo tayari kwa mahojiano ya mwisho leo.

“Mteja wangu anaeandelea vizuri, kesho (leo) saa mbili asubuhi atahojiwa kama...

 

11 years ago

Mwananchi

Ngassa fiti kuivaa Zimbabwe

>Mshambuaji wa Taifa Stars, Mrisho Ngassa yuko fiti kushuka uwanjani Jumapili kukichezea kikosi hicho katika pambano lao dhidi ya Zimbabwe litakalopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi wahama kukimbia mafuriko

WAKAZI wa Kijiji cha Gama, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo, wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya Daraja la Gama kubomoka kutokana na mafuriko, hali iliyosababisha kukosekana kwa mawasiliano baina ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani