Gwajima fiti, kuhojiwa leo.
Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima (pichani), anatarajiwa kuhojiwa leo na Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam katika Kituo cha Polisi cha Kati huku wasaidizi wake wakisema afya imeimarika na yupo tayari kwa mahojiano hayo.
Akizungumza na NIPASHE Mwanasheria wa Askofu Gwajima, Paul Mallya, alisema jana kuwa mteja wake afya yake imeimarika na yupo tayari kwa mahojiano ya mwisho leo.
“Mteja wangu anaeandelea vizuri, kesho (leo) saa mbili asubuhi atahojiwa kama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: ASKOFU GWAJIMA ATAKIWA KUHOJIWA NA JESHI LA POLISI KUHUSU TUHUMA ZA KASHFA NA MATUSI DHIDI YA KALDINARI PENGO

"Tumepokea malalamiko ya kukashifiwa na kutukanwa hadharani Mwadhama Kaldinari Polycarp Pengo ambaye ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kama vile WhatsApp na mingineyo kuna sauti...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Brazil 2014: Luis Suarez yuko fiti kuivaa England leo
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Chenge kuhojiwa na Baraza la Maadili leo
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
GPLHELIKOPTA YA GWAJIMA YAZINDULIWA LEO
10 years ago
GPL
HALI ILIVYOKUWA NYUMBANI KWA GWAJIMA LEO
10 years ago
Michuzi
UPDATES: ASKOFU GWAJIMA APEWA DHAMANA LEO MCHANA.


BOFYA HAPA KWA...
10 years ago
Vijimambo
GWAJIMA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza na waandishi wa Habari leo.
Na Emmanuel Mtengwa
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amejitokeza leo na kujibu tuhuma zilizotolewa dhidi yake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa wiki moja iliyopita.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Askofu Gwajima amekanusha tuhuma za kuwa alimwambia Dk Slaa kuwa wapo maaskofu ambao walihongwa na...