Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HALI ILIVYOKUWA NYUMBANI KWA GWAJIMA LEO

Askari wakiwa nyumbani kwa Gwajima. Makamanda wa polisi wakiwa tayari kwa lolote. Gari lililombeba Gwajima likitoka ndani ya nyumba yake kuelekea kituo kikuu cha polisi kwa ajili ya mahojiano. Mawakili wa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HALI ILIVYOKUWA UBUNGO JIJINI DAR LEO

 Baadhi ya Madereva na Makondakta wa Mabasi wanaondelea na Mgomo, wakiwa wamekaa juu ya Kontena zilizopo kwenye Kituo kikuu cha Mabadi, Ubungo jijini Dar es salaam kusubiria mustakabali wao, huku ulinzi Mkali wa Jeshi la Polisi ukiwa umetawala eneo hilo. Ghafla likazuka tukio la kurushwa mawe kutoka kwa watu wasiojulikana waliokuwa nje ya Stendi hiyo na kupeleke watu wote waliokuwa kwenye eneo hilo kukusanyika sehemu moja ili kujinusuru. Hali ilikuwa tete pale mawe yalipokuwa yakirushwa, na...

 

11 years ago

Michuzi

HALI ILIVYOKUWA BAADA YA MVUA YA LEO MCHANA


Mchana wa leo imeshesha mvua kubwa kiasi na kupelekea maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam kuwa kama ionekanavyo pichani.



BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

HALI ILIVYOKUWA MSIBANI KWA BABA YAKE DULLY KABLA YA MAZISHI

Mwili wa marehemu Mzee Sykes ukiingizwa kwenye gari tayari kwa ajili ya mazishi makaburi ya Kisuti jijini Dar. Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa kaka wa marehemu Kawe Beach, Dar.…

 

10 years ago

GPL

HALI ILIVYO MPAKA SASA NYUMBANI KWA ALLY CHOKI

Ndugu na majirani wa karibu wakiwa katika msiba wa mke wa Ali Choki, Shuwea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu na kuaga dunia usiku wa kuamkia leo. Mkurugenzi wa Extra Bongo akiwa na majonzi nyumbani kwake Toangoma, Kigamboni.…

 

10 years ago

Michuzi

WASANII WATAKAOTUMBUIZA TAMASHA LA FIESTA 2014 JIONI YA LEO JIJINI TANGA WAMJULIA HALI MZEE NJENJE NYUMBANI KWAKE SAHARE.

 Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,almaarufu kama Mzee Njenje akizungumza machache mbele ya wasanii mbalimbali wa bongofleva waliofika nyumbani kwake Sahare,nje kidogo ya jiji la Tanga,kumjulia hali kutokana na maradhi yake yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda sasa.
Mzee Njenje amewaasa wasanii hao ambao amekiri wazi kuwa wanafanya vizuri katika anga ya muziki wao,kupata muda mwingi wa kupumzika ikiwemo na suala la kutoendekeza masualaua ya anasa kama vile ulevi,ngono na mengineyo ambayo huchangia...

 

11 years ago

GPL

HALI YA MVUA ILIVYOKUWA KEKO NA MANZESE DAR

Picha za juu ni hali halisi ya mvua ilivyokuwa leo maeneo ya Keko-Fencha hadi Veta.…

 

10 years ago

GPL

HALI ILIVYOKUWA JANA BAADA YA HUKUMU YA MRAMBA, YONA

Baadhi ya ndugu na jamaa wa Basil Mramba na Daniel Yona wakiondoka katika Mahakama ya Kisutu kwa masikitiko makubwa baada ya kupelekwa gerezani. Anayedaiwa kuwa mke wa Basil Mramba, akiwa kwenye gari tayari kuondoka Mahakamani hapo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani