Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HELIKOPTA YA GWAJIMA YAZINDULIWA LEO

Rubani wa helikopta hiyo akijiandaa kuirusha helikopta hiyo. Helikopta ikiwa hewani. Hapa ikijiandaa kutua. Helikopta ya Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima imezinduliwa leo hii katika viwanja vya Tanganyika Packers,…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

Gwajima fiti, kuhojiwa leo.

Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima (pichani), anatarajiwa kuhojiwa leo na Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam katika Kituo cha Polisi cha Kati huku wasaidizi wake wakisema afya imeimarika na yupo tayari kwa mahojiano hayo.

Akizungumza na NIPASHE Mwanasheria wa Askofu Gwajima, Paul Mallya, alisema jana kuwa mteja wake afya yake imeimarika na yupo tayari kwa mahojiano ya mwisho leo.

“Mteja wangu anaeandelea vizuri, kesho (leo) saa mbili asubuhi atahojiwa kama...

 

10 years ago

GPL

HALI ILIVYOKUWA NYUMBANI KWA GWAJIMA LEO

Askari wakiwa nyumbani kwa Gwajima. Makamanda wa polisi wakiwa tayari kwa lolote. Gari lililombeba Gwajima likitoka ndani ya nyumba yake kuelekea kituo kikuu cha polisi kwa ajili ya mahojiano. Mawakili wa…

 

11 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE YAZINDULIWA RASMI LEO

Wema Sepetu na Profesa Jay wakikata utepe kuzindua rasmi Global Tv Online leo ndani ya ofisi za Global Publishers Ltd. Wema na Prof Jay wakifungua kitambaa kuzindua Global Tv Online.…

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES: ASKOFU GWAJIMA APEWA DHAMANA LEO MCHANA.

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akiwa kwenye baiskeli maalum ya wagonjwa Hospitali ya TMJ Dar es Salam leo mchana, wakati akielekea Kituo cha Polisi cha Oyterbay kupewa dhamana.Hapa Askofu Gwajima akiingia kwenye gari huku akiwa na maumivu makali wakati akielekea kwenye kituo hicho kupewa dhamana
Wachungaji wakibadilishana mawazo wakati wakimsubiri Askofu Gwajima apewe dhamana
Waumini wa kanisa hilo wakijiandaa kumpokea Askofu wao baada ya kupatiwa dhamana

BOFYA HAPA KWA...

 

9 years ago

Michuzi

TOVUTI YA NAFASI ZA AJIRA YAZINDULIWA JIJINI LEO

  Mkurugenzi Mtendaji wa tofuti ya ajira ya Owbaz, Barbara Butter (kushoto) akimpa maua balozi mpya wa Owbaz, Abernego Damian Nyamoga ‘Belle 9’ katika hafla ya uzinduzi rasmi wa tovuti hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wa pili kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Cosmos,  Muhammad Owais Pardesi na Mkurugenzi Rasilimali Watu wa kampuni ya bima ya Aris, Paritosh Bajaria. Mkurugenzi Mtendaji wa tofuti ya ajira ya Owbaz, Barbara Butter (kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa...

 

11 years ago

Michuzi

TV 1 Tanzania yazinduliwa rami leo jijini Dar

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Kipya cha Televisheni (TV 1 Tanzania),Marcus Adolfsson akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Southen Sun,jijini Dar es Salaam leo,wakati wa kutangaza Uzinduzi wa Kituo hicho cha Televisheni kitakachokuwa kikirusha matangazo yake kutokea Jijini Dar na kuonekana nchi nzima.  Watangazaji wa Kipindi cha The One Show kinachorusha na Kituo hicho kipya cha Televisheni(TV 1 Tanzania),Jokate Mwegelo na Ezden Jumanne wakizungumzia namna...

 

9 years ago

Vijimambo

GWAJIMA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza na waandishi wa Habari leo.


Na Emmanuel Mtengwa
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amejitokeza leo na kujibu tuhuma zilizotolewa dhidi yake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa wiki moja iliyopita.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Askofu Gwajima amekanusha tuhuma za kuwa alimwambia Dk Slaa kuwa wapo maaskofu ambao walihongwa na...

 

10 years ago

GPL

MASHINDANO YA COPA COCA COLA KITAIFA YAZINDULIWA LEO

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,Dkt Fenela Mukangara akihutubia wanamichezo …. Mkangara akiteta jambo na Rais wa TFF Jamali Malinzi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani