Wakazi wahama kukimbia mafuriko
WAKAZI wa Kijiji cha Gama, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo, wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya Daraja la Gama kubomoka kutokana na mafuriko, hali iliyosababisha kukosekana kwa mawasiliano baina ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV16 Sep
Wakazi Same wahama makazi
Baadhi wa wakazi wa vitongoji vya Jitengeni, Muungano na Mvungwe wilayani Same mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuyahama makazi yao na wengine kulala juu ya miti baada ya nyumba zao kuzingirwa na maji.
Mafuriko hayo yanadaiwa kusababishwa na kufunguliwa kwa maji katika Bwawa la Nyumba ya Mungu ambayo yameingia katika mto Ruvu hali iliyosababisha mto huo kujaa na maji hayo kusambaa katika makazi ya watu.
Katika hali hiyo shida na taabu kubwa ambayo imewakumba wakazi wa vitongoji vya...
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mafuriko yakera wakazi Kenya
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Wakazi Garissa wahangaishwa na mafuriko
9 years ago
GPL06 Sep
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AWAFARIJI WAKAZI WA BUGURUNI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO
10 years ago
GPLMAFURIKO YAACHA ATHARI KUBWA KWA WAKAZI WA JANGWANI, DAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--jKlLH1xww0/VjcLzW-us_I/AAAAAAAAHfs/sY3ZaeErRfk/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WATAABIKA NA MAFURIKO KUTOKANA NA MVUA INAYOENDELEA KUNYESHA.
![](http://2.bp.blogspot.com/--jKlLH1xww0/VjcLzW-us_I/AAAAAAAAHfs/sY3ZaeErRfk/s640/1.jpg)
Pichani ni mmoja wa wakazi wa Kilimahewa akitoa maji ndani ya nyumba yake kutokana na mvua iliyoanza kunyesha majira ya saa kumi na mbili alfajiri hii leo. Hadi tunaenda hewani (saa 10:30 asubuhi) Mvua hiyo inaendelea kumiminika mdogomdogo.
Picha na Loyce NhalukeMbali na Kilimahewa, Pia wakazi wa Mabatini Jijini Mwanza hukumbwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e9F1P5l92QI/U0o_1CzwhYI/AAAAAAAACTQ/-T-ikpVF414/s72-c/2014-04-13+08.52.50.jpg)
HOFU YA KUTOKEA MAFURIKO,WAKAZI WA KATA YA MABOGINI-KILIMANJARO WAITANA MSARAGAMBO KUZIBA MAPITIO YA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e9F1P5l92QI/U0o_1CzwhYI/AAAAAAAACTQ/-T-ikpVF414/s1600/2014-04-13+08.52.50.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_75-CgP1jKQ/U0o-Y-DWTsI/AAAAAAAACSQ/8yAnQLOCt6U/s1600/2014-04-13+08.39.23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MzwnQfUfbPY/U0o-lCQVsXI/AAAAAAAACSY/IknDFLqgZNE/s1600/2014-04-13+08.39.50.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JhOyUWX4lfI/U0o-tTgFapI/AAAAAAAACSg/kQC0f-tELIE/s1600/2014-04-13+08.41.00.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m570eEfql5g/U0o_HpblbwI/AAAAAAAACSw/liqW0rOaHWQ/s1600/2014-04-13+08.41.35.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fZIpjmG5sQY/U0o_TI_uDTI/AAAAAAAACS4/g0-vwN9mnpc/s1600/2014-04-13+08.48.32.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sr4J4G-zmjA/U0o_oUCpkRI/AAAAAAAACTI/X65l87Ap9TE/s1600/2014-04-13+08.48.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_z74GyTppZM/U0o_lG_FkCI/AAAAAAAACTA/Xe0_yBDp9i0/s1600/2014-04-13+08.49.14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uejo9W5l2KY/U0pABSHPdJI/AAAAAAAACTY/VpjjRxQ_wTg/s1600/2014-04-13+09.07.46.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Aug
Wahama Chadema, CUF kumkimbia Lowassa
WANACHAMA 20 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama cha Wananchi(CUF) kutoka matawi ya Ubungo na Kilimani, wamerudisha kadi zao katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa kile walichodai kuwa kitendo cha viongozi hao kumpokea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ni kuvunja katiba na kukidhalilisha chama.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10