Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Garissa wahangaishwa na mafuriko

Mkutanokuhusu mabadiliko ya hali ya hewa ukiendelea Paris, miongoni mwa maeneo ambayo yameathirika ni kaskazini mwa Kenya, hasa eneo la Garissa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi wahama kukimbia mafuriko

WAKAZI wa Kijiji cha Gama, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo, wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya Daraja la Gama kubomoka kutokana na mafuriko, hali iliyosababisha kukosekana kwa mawasiliano baina ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yakera wakazi Kenya

Maziwa ya Kenya yanafururika maji yasitokana na mvua. ,aji hayo yanatoka wapi?

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS JAKAYA KIKWETE AWAFARIJI WAKAZI WA BUGURUNI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua kazi ya kuondoa maji ya mafuriko kutoka katika nyumba za watu katika eneo la Buruguruni Mnyamani wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam leo wakati Rais na Mkewe Mama Salma Kikwete na viongozi mbalimbali walipotembelea eneo hili kujionea athari za mafuriko na kuwafariji wananchi.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mmoja wa wakazi wa Buguruni Mnyamani Bi.Halima Hamza ambaye nyumba yake imeathiriwa vibaya na maji ya mafuriko wakati Rais na Mkewe Mama...

 

10 years ago

GPL

MAFURIKO YAACHA ATHARI KUBWA KWA WAKAZI WA JANGWANI, DAR

Hivi ndivyo hali halisi ilivyo katika eneo hilo. Mjumbe wa serikali ya Mtaa wa Charambe, Bi. Mwajabu Hamad ambaye ni mmoja wa waathirika wa mafuriko akiwa nje ya nyumba yake. Kitanda na baadhi ya vyombo vikiwa vimesalia.…

 

9 years ago

Michuzi

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WATAABIKA NA MAFURIKO KUTOKANA NA MVUA INAYOENDELEA KUNYESHA.

Miongoni mwa nyumba zilizopo Mtaa wa Kilimahewa Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza ambazo huathirika na kero ya Maji kuingia ndani pindi mvua zinapoanza kunyesha.
Pichani ni mmoja wa wakazi wa Kilimahewa akitoa maji ndani ya nyumba yake kutokana na mvua iliyoanza kunyesha majira ya saa kumi na mbili alfajiri hii leo. Hadi tunaenda hewani (saa 10:30 asubuhi) Mvua hiyo inaendelea kumiminika mdogomdogo.
Picha na Loyce NhalukeMbali na Kilimahewa, Pia wakazi wa Mabatini Jijini Mwanza hukumbwa na...

 

11 years ago

Michuzi

HOFU YA KUTOKEA MAFURIKO,WAKAZI WA KATA YA MABOGINI-KILIMANJARO WAITANA MSARAGAMBO KUZIBA MAPITIO YA MAJI

Wakazi wa Kitongoji cha Bogini wakiwa wamejitikeza kwenye Msaragambo kwa ajili ya kuchimba na kufukia kwa vifusi maeneo ambayo ni mapitio ya maji kwenda kwenye makazi ya watu. Wakazi wa kata ya Mabogini wakiwa katika Msaragambo. Shughuli ya kuziba maeneo korofi iliendelea. Hata wale wasio na vitendea kazi walilazimika kutumia mikono kufanya shughuli hiyo. Sehemu ya barabara ikizibwa na mabaki ya mmatofari ya kuchoma.   Shughuli ya kuziba maeneo hayo ikiwa imekamilika .

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA

Pichani kati msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akiwa na madansa wake wakilishambulia jukwaa kwa namna ya kipekee usiku huu kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga.Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Ney Wa Mitego (pichani kulia) na Stamina wakilishambulia jukwaa kwa wimbo wao wa Huko Kwenu vipi,huku makele ya shangwe yakiwa yametawala kila kona ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga usiku huu.Sehemu ya mashabiki wa Fiesta...

 

10 years ago

BBC

Where is the last Garissa victim?

Father's search for one of those killed in militant attack

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani