Wahama Chadema, CUF kumkimbia Lowassa
WANACHAMA 20 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama cha Wananchi(CUF) kutoka matawi ya Ubungo na Kilimani, wamerudisha kadi zao katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa kile walichodai kuwa kitendo cha viongozi hao kumpokea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ni kuvunja katiba na kukidhalilisha chama.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Lowassa awagawa CUF, Chadema
MPANGO wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Wiki iliyopita, Raia Tanzania liliandika taarifa kwamba Chadema walipanga kumtangaza Lowassa Jumapili ya jana baada ya kumaliza mazungumzo naye, lakini hilo lilishindikana.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinadai kuwa huenda...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jPoYqsYrYKg/Vef2xYmh4zI/AAAAAAABUxw/MPa4FL3PTR8/s72-c/8.jpg)
UPDATES: WAFUASI WA DR.SLAA WA SHINYANGA MJINI WAHAMA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jPoYqsYrYKg/Vef2xYmh4zI/AAAAAAABUxw/MPa4FL3PTR8/s640/8.jpg)
Wakiwa na hasira baada ya kuisikiliza kwa kina hotuba ya Dr Slaa jana vijana hao wameandamana na kukusanyika katika ofisi za chama hicho wakimshutumu vikali mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe kwa kukiuza chama kwa Fisadi lowasa na kusababisha kuwaengua viongozi wa juu wa...
10 years ago
Mwananchi29 Jul
LOWASSA CHADEMA: Fitina zimempeleka Lowassa upinzani
9 years ago
StarTV16 Sep
Wakazi Same wahama makazi
Baadhi wa wakazi wa vitongoji vya Jitengeni, Muungano na Mvungwe wilayani Same mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuyahama makazi yao na wengine kulala juu ya miti baada ya nyumba zao kuzingirwa na maji.
Mafuriko hayo yanadaiwa kusababishwa na kufunguliwa kwa maji katika Bwawa la Nyumba ya Mungu ambayo yameingia katika mto Ruvu hali iliyosababisha mto huo kujaa na maji hayo kusambaa katika makazi ya watu.
Katika hali hiyo shida na taabu kubwa ambayo imewakumba wakazi wa vitongoji vya...
10 years ago
TheCitizen08 Aug
CUF: Our support for Lowassa won’t change
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Lowassa kwenda NEC kupitia CUF
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScuOwjvEYjxuscM40N-*Fd2qpXjZOX7tfUKmYAm-gyOyR3CA2uhpgR9vv4JtG5zprlpTZ1YYo7Dk1wyH349izfRt/sabby.jpg)
SABBY AHAMA KISA KUMKIMBIA BOB JUNIOR
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Mzee Yusuf: Sikuwahi kumkimbia Khadija Kopa
NA RHOBI CHACHA
MFALME wa muziki wa taarabu, Mzee Yusuf, ameibuka na kuweka wazi kwamba hakuwahi kumkimbia Malkia wa muziki huo, Khadija Kopa, anayedai kwamba amekataa kushirikiana naye katika wimbo aliotaka.
Mzee Yusuf aliongeza kwamba ameshafanya nyimbo mbili na Kopa za kushirikiana, lakini Kopa anadai nyimbo hizo walikutanishwa na mashirika yaliyotaka kazi hizo zifanywe nao na si vinginevyo.
“Unajua mie nashangaa sana hizi habari, Khadija hajawahi kuniambia tufanye wimbo wa pamoja na...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Wakazi wahama kukimbia mafuriko
WAKAZI wa Kijiji cha Gama, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo, wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya Daraja la Gama kubomoka kutokana na mafuriko, hali iliyosababisha kukosekana kwa mawasiliano baina ya...