Wakazi Same wahama makazi
Baadhi wa wakazi wa vitongoji vya Jitengeni, Muungano na Mvungwe wilayani Same mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuyahama makazi yao na wengine kulala juu ya miti baada ya nyumba zao kuzingirwa na maji.
Mafuriko hayo yanadaiwa kusababishwa na kufunguliwa kwa maji katika Bwawa la Nyumba ya Mungu ambayo yameingia katika mto Ruvu hali iliyosababisha mto huo kujaa na maji hayo kusambaa katika makazi ya watu.
Katika hali hiyo shida na taabu kubwa ambayo imewakumba wakazi wa vitongoji vya...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Wakazi wahama kukimbia mafuriko
WAKAZI wa Kijiji cha Gama, Kata ya Magomeni, wilayani Bagamoyo, wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya Daraja la Gama kubomoka kutokana na mafuriko, hali iliyosababisha kukosekana kwa mawasiliano baina ya...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Wakazi 3,000 Arumeru kubomolewa makazi
10 years ago
Habarileo01 Aug
Wahama Chadema, CUF kumkimbia Lowassa
WANACHAMA 20 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama cha Wananchi(CUF) kutoka matawi ya Ubungo na Kilimani, wamerudisha kadi zao katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa kile walichodai kuwa kitendo cha viongozi hao kumpokea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ni kuvunja katiba na kukidhalilisha chama.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jPoYqsYrYKg/Vef2xYmh4zI/AAAAAAABUxw/MPa4FL3PTR8/s72-c/8.jpg)
UPDATES: WAFUASI WA DR.SLAA WA SHINYANGA MJINI WAHAMA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jPoYqsYrYKg/Vef2xYmh4zI/AAAAAAABUxw/MPa4FL3PTR8/s640/8.jpg)
Wakiwa na hasira baada ya kuisikiliza kwa kina hotuba ya Dr Slaa jana vijana hao wameandamana na kukusanyika katika ofisi za chama hicho wakimshutumu vikali mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe kwa kukiuza chama kwa Fisadi lowasa na kusababisha kuwaengua viongozi wa juu wa...
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Makazi duni Nigeria: Makazi duni Lagos yako juu ya maji
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s72-c/5.jpg)
WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvJtI-FXRpE/VBNpzXDxTgI/AAAAAAACquk/NcynDHmhNvE/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txkv9zEdcDM/VBNp0e6MWFI/AAAAAAACqu0/xzNCMXQVVRg/s1600/4.jpg)