Ujumbe Huu wa Ray Umewagusa Wengi
Mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara kadhaa amekuwa akiandika ujumbe mbali mbali kwenyekupitia ukurasa wake mtandaoni kuhusu maisha kwa ujumla.
![Ray](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/RAY2334.jpg)
Ray
Kila mtu amekuwa akizichukulia jumbe hizo kwa namna anavyofikiria yeye mwenyewe lakini huu wa leo umewakuna wengi.
Ray ameandika;
“Katika maisha unapoamua kuwa na mtu ni kwa maisha yako usihitaji mtu kwa ajili ya watu na usipende kuishi kwa macho ya watu hata shetani alikataa mbingu na Mungu hakuilaani mbingu alimlaani yeye...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies15 Jul
Wewe ni Kijana Chini ya Miaka 40? Ujumbe Huu wa Ray Ukufikie
Watu wengi hawajui kwa nini wazungu huwa wanasema LIFE BEGINS AT 40. Yaani maisha yako ya kweli yataanza ukifika umri wa Miaka 40. Wakati ambapo unatakiwa uwe na elimu uliyoihitaji.. Uwe na familia yako tayari.. Uwe na kwako tayari siyo umepanga bado.. Uwe na usafiri binafsi.. Uwe na kitu chako cha kukuingizia pesa na si kutegemea ajira peke yake. At 40!
At 40 unatakiwa uwe umeshapata exposure kwa kusafiri huku na kule dunia hii kujua wengine walioendelea zaidi wanaishi vipi na wewe...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LVtCTa5sHAM/VZQmWbysgxI/AAAAAAAAFqU/gfZ2698-B2U/s72-c/makongoro%2Bnyerere.jpg)
10 years ago
Bongo Movies24 Jun
Ujumbe: Tutafute Pesa Sio Kusengenyana-Ray
Pesa Ni Sabuni Ya Roho Hata Kama Mdogo Utaitwa Mzee Hata Kama Una Sura Ya Kawaida Utaitwa Handsome Boy Hata Kama Una Roho Mbaya Utaambiwa Una Roho Nzuri . SASA VIJANA WENZANGU TUPAMBANE KUTAFUTA PESA NA C KUSENGENYANA.. (MONEY TALKS)
raythegreatest on instagram
10 years ago
Vijimambo26 Jan
HUU NI UJUMBE WANGU KWAKO
![](https://scontent-a-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/s480x480/10420254_757889444286965_1469981421397225592_n.jpg?oh=cd2fa62f3ce129260f85aab0b545b8f7&oe=5555045A)
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Serikali imesikia ujumbe huu wa Ukimwi?
MWISHONI mwa wiki iliyopita, mkutano mkubwa wa wanasayansi na mashirika makubwa ya kimataifa yana
Ezekiel Kamwaga
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Huu ndiyo Ujumbe wa JB Kwa Wachepukaji
Kadri unavyo jitahidi kuitunza na kuijali nyumba ndogo...ndivyo unavyo hatarisha ndoa yako..Sababu namba mbili wote hutamani kuwa namba moja..Tafakari chukua hatua...Michepuko sio dili....
By Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on instagram
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Ray — “Mwaka huu filamu za nje tu, ni mwendo wa Ghana na Nigeria”
Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi a.k.a Ray amejipanga kufanya filamu nyingi za kimataifa mwaka huu, huku akiweka bayana ataanza na Ghana pamoja na Nigeria.
Kwa mujibu wa tovuti Bongo5 , Ray amesema ndani ya mwaka huu ataweka pembeni kazi za ndani na kujikita kimataifa zaidi.
“Nimepanga kufanya mambo mengi mwaka huu, lakini mwaka huu movie zangu zote nitafanya International sitafanya movie yoyote ya hapa hapa kwa sababu kama hapa nishafanya sana, kwahiyo movie zangu zote...
9 years ago
Bongo Movies24 Aug
Ray Atoa ya Moyoni Wenzake Kutumika Kwenye Uchaguzi Huu
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi ‘Ray’ afunguka haya kuelekea October 25 siki ya kupiga kura.
(FREEDOM OF SPEECH)
Kijana mwenye upeo mkubwa na kuona mbali anayetambua matatizo magumu ya chi hii hawezi hakapost ujinga kwa kusema chagua chama flani kwa kufuata mkumbo au kupewa maagizo na watu wenye maslahi yao binafsi.
Kwa kupost kitu ambacho hata akijui na wala yeye mwenyewe hana uhakika wa maisha yake ya baadaye dahaaa ni aibu kubwa sana kaa tafakari...
10 years ago
Bongo Movies12 Dec
PICHA: Utatu Huu Umewapendeza Wengi
Naweza sema kwa siku ya leo picha hii ndio iliyopata “comments” na “Likes” nyingi zaidi kuliko picha zote zawaigizaji zilitupiwa leo mtandaoni. Nipicha inayowajumuisha mastaa watatu ambao ni waigizaji wa filamu maarufu hapa Bongo, amabao ni Kajala,Tausi na Wolper.
Mashakibi wengi wameonekana kivutiwa zaidi na picha hii kwani ndani ya muda mfupi picha hizi zilipata Likes zaidi ya elfu tano na comment zaidi ya mia tatu.
Wote kwapamoja, Kajala na Wolper waliziweke picha hizi kwenye kurasa za...