Serikali imesikia ujumbe huu wa Ukimwi?
MWISHONI mwa wiki iliyopita, mkutano mkubwa wa wanasayansi na mashirika makubwa ya kimataifa yana
Ezekiel Kamwaga
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LVtCTa5sHAM/VZQmWbysgxI/AAAAAAAAFqU/gfZ2698-B2U/s72-c/makongoro%2Bnyerere.jpg)
10 years ago
Vijimambo26 Jan
HUU NI UJUMBE WANGU KWAKO
![](https://scontent-a-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/s480x480/10420254_757889444286965_1469981421397225592_n.jpg?oh=cd2fa62f3ce129260f85aab0b545b8f7&oe=5555045A)
9 years ago
Bongo Movies19 Dec
Ujumbe Huu wa Ray Umewagusa Wengi
Mkali wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa mara kadhaa amekuwa akiandika ujumbe mbali mbali kwenyekupitia ukurasa wake mtandaoni kuhusu maisha kwa ujumla.
![Ray](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/RAY2334.jpg)
Ray
Kila mtu amekuwa akizichukulia jumbe hizo kwa namna anavyofikiria yeye mwenyewe lakini huu wa leo umewakuna wengi.
Ray ameandika;
“Katika maisha unapoamua kuwa na mtu ni kwa maisha yako usihitaji mtu kwa ajili ya watu na usipende kuishi kwa macho ya watu hata shetani alikataa mbingu na Mungu hakuilaani mbingu alimlaani yeye...
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
Huu ndiyo Ujumbe wa JB Kwa Wachepukaji
Kadri unavyo jitahidi kuitunza na kuijali nyumba ndogo...ndivyo unavyo hatarisha ndoa yako..Sababu namba mbili wote hutamani kuwa namba moja..Tafakari chukua hatua...Michepuko sio dili....
By Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on instagram
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Ujumbe Huu wa Wema Uwafikie Wanawake Wote
“Kelele kelele kama kengele za nini? The only business worth minding is your own. Mwanamke fanya yako kwa maendeleo yako”.-Wema Sepetu
Ameandika ujumbe huu kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
9 years ago
Bongo Movies29 Dec
Ujumbe wa Lulu Tunapoelekea Kuumaliza Mwaka Huu
![Elizabeth Michael ‘Lulu’](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/lulu33-1.jpg)
Elizabeth Michael ‘Lulu’
Mwaka huu ulikuwa mzuri au mbaya Kwa kila mmoja wetu….Katika MAZURI SHUKURU Na hata katika MABAYA Na ya KUUMIZA pia MSHUKURU MUNGU.
Tunapoelekea Kumaliza mwaka hiyo tu ni sababu tosha ya kuonyesha ni jinsi gani Una thamani mbele ya Mungu wako wala hutakiwi Kuwaza nani anakuona nini.
Nimejifunza na Ninaamini Kuna Nguvu,Msamaha,Kuongezwa,Kuzidishwa,Kuponywa na Mengine mengi ndani ya SHUKRANI.
Elizabeth Michael ‘Lulu’ @elizabethmichaelofficial on...
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mkoa wa Singida mwenyeji maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, Desemba Mosi mwaka huu
![DSCN5254](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSCN5254.jpg)
9 years ago
Vijimambo10 years ago
Bongo Movies28 Jul
Ujumbe Huu wa Shamsa Ford Ukufikie Ewe Mwanafunzi
Kila mtu anapenda kuwa maarufu haswa wanafunzi kwasababu ndo wanaongoza kunipigia simu kutaka kuwa waigizaji. Lakini ushawahi kujiuliza faida na hasara ya umaarufu? Ili kuwa maarufu si lazima uwe muigizaji au mwanamziki,ukisoma kwa bidii nina uhakika kupitia elimu yako unaweza ukawa maarufu Tanzania nzima au Duniani kote.
Mfano unaweza ukawa Dk maarufu,Mwanasheria maarufu ,Raisi wa nchi,au Rubani maarufu..wewe uliyepata nafasi ya kusoma uzingatie masomo yako faida utaiona baadae...Dunia ya...