Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe Huu wa Shamsa Ford Ukufikie Ewe Mwanafunzi

Kila mtu anapenda kuwa maarufu haswa wanafunzi kwasababu ndo wanaongoza kunipigia simu kutaka kuwa waigizaji. Lakini ushawahi kujiuliza faida na hasara ya umaarufu? Ili kuwa maarufu si lazima uwe muigizaji au mwanamziki,ukisoma kwa bidii nina uhakika kupitia elimu yako unaweza ukawa maarufu Tanzania nzima au Duniani kote.

Mfano unaweza ukawa Dk maarufu,Mwanasheria maarufu ,Raisi wa nchi,au Rubani maarufu..wewe uliyepata nafasi ya kusoma uzingatie masomo yako faida utaiona baadae...Dunia ya...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wewe ni Kijana Chini ya Miaka 40? Ujumbe Huu wa Ray Ukufikie

Watu wengi hawajui kwa nini wazungu huwa wanasema LIFE BEGINS AT 40. Yaani maisha yako ya kweli yataanza ukifika umri wa Miaka 40. Wakati ambapo unatakiwa uwe na elimu uliyoihitaji.. Uwe na familia yako tayari.. Uwe na kwako tayari siyo umepanga bado.. Uwe na usafiri binafsi.. Uwe na kitu chako cha kukuingizia pesa na si kutegemea ajira peke yake. At 40!

At 40 unatakiwa uwe umeshapata exposure kwa kusafiri huku na kule dunia hii kujua wengine walioendelea zaidi wanaishi vipi na wewe...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford:Ungetamani Kuniambia Nini Kabla Mwaka Huu Kuisha

Ikiwa zimebaki siku chache kuumaliza mwaka 2014.Muigizaji  wa filamu Shamsa  Ford anaetamba mwaka huu kwenye filamu ya CHAUSIKU, amewataka mashabiki wake na wapenzi wa filamu hapa nchini wamshauri chochote kuhusiana na kazi  zake na maisha yake ya sanaa kwa ujumla.

 Shamsa  ambae ni mama wa mtoto mmoja, aliweka picha yake nakuandika;

“Ni kitu gani ungetamani kuniambia kabla ya huu mwaka KUISHA”

Jina la Shamsa Ford, lilijitokeza sana mwaka huu kwenye magazeti ya udaku na mitandaoni baada ya...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD NA HOFU YA KIFO

Stori: Gladness Mallya DUH! Staa  wa filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa anakiona kifo chake hivyo anawaomba msamaha aliowakosea na kuwasamehe waliomkosea. Staa  wa filamu Bongo, Shamsa Ford akipozi. Akistorisha na gazeti hili, Shamsa alisema ameamua kuanza kujisafishia njia kwani yeye ni binadamu na umauti unaweza kumkuta muda wowote hata kama akiwa mzima. “Ninaomba msamaha kwa wote niliowakosea kwani mimi ni...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD: POMBE IMENIZEESHA

Na Imelda Mtema
DIVA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford, amefunguka kuwa ameamua kuacha pombe kwa sababu ameona haina faida yoyote kwake zaidi ya kumzeesha na kumfanya aonekane kama mama mtu mzima. Shamsa Ford. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, juzikati jijini Dar es Salaam, Shamsa alisema: “Nilikuwa napiga sana mtungi, yaani nilikuwa nikipata nafasi ya kunywa, napiga balaa lakini naona hakuna cha maana, sanasana...

 

9 years ago

Global Publishers

Shamsa Ford hana aibu!

shamsaaaaMsanii wa filamu, Shamsa Ford.

Imelda Mtema
Hana aibu! Msanii wa filamu, Shamsa Ford hivi karibuni alizua gumzo baada ya kutupia picha kwenye mtandao ikimuonesha akiwa nusu utupu mbele ya Wamasai walioonekana kupata mfadhaiko.

Mara baada ya msanii huyo kuiwekaN mtandaoni picha hiyo, mashabiki wake wengi walimchana kwa kuacha maungo yake wazi tena pembeni wakiwepo watoto.

Akiizungumzia picha hiyo, Shamsa alisema kuwa, aachwe avae anavyotaka kwani hakuna mtu anayeweza kumuingilia kwenye maisha...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD AGOMA KUOLEWA

Na Mwandishi Wetu STAA wa filamu Bongo ‘Shamsa Ford’ amegoma kuolewa siku chache baada ya tarehe ya harusi yake kufika kwa madai kuwa mambo yalivyopangwa sivyo alivyotarajia. Shamsa Ford. Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika, zinasema kuwa harusi ya Shamsa ilikuwa ifanyike kati ya Desemba 24 na 25, mwaka huu lakini aligoma kwa vile walikwenda kinyume na makubaliano ya tarehe husika. “Unajua mwanzoni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford Amfunda Aunt Ezekiel

Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ameamua kumfunda mwezie Aunt Ezekiel juu ya kulinda familia yake. Aunt Ezekiel ambaye amejifungua hivi kalibuni mototo wa kike aliyempa jina la Cookie, alipewa mafunzo hayo kupitia ukurasa wake wa  instagram baada ya Aunt  kuweka picha iliyomuonesha baba wa mototo wake  Moses Iyobo ambaye pia ni dansa wa msaanii wa muziki Diamond Platnum akiwa amekaa pembeni ya mototo wao akimuangalia.

Katika picha hiyo Aunt aliandika maneno”Daddy’s home sio kwa kutaka muda...

 

10 years ago

GPL

SHAMSA FORD ATINGA GLOBAL TV ONLINE

Host wa kipindi cha kipindi cha Me & you with Love kupitia Global TV Online, Shorvieny Mohamed (kushoto) akifanya mahojiano na msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford (kulia). Shamsa Ford (kulia) akifafanua jambo. USIKOSE kutazama mahojiano haya siku ya…

 

10 years ago

GPL

SHAMSA FORD NAYE AMSALITI NAY

Brighton masalu
USALITI? Huenda maumivu ya mapenzi yakazidi kumuandama msanii wa muziki Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya gazeti hili kunasa picha za mchumba’ke Shamsa Ford akiwa katika mahaba mazito na msanii mwanaume mwingine aliyedaiwa kuwa ni mchepuko wake, Rammy Galis, Amani lilifuatilia hatua kwa hatua. Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford akipozi kimahaba na Rammy Galis. Ishu hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani