Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIJANA AMSAKA RAY C AMUOE

Waandishi wetu SIKU chache baada ya nyota wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila, ‘Ray C’ kutangaza anatafuta mchumba, kijana aliyejitambulisha kwa jina la Abubakar Ally ‘Babuu’ (21) amejitokeza akisema yeye anataka ndoa na Ray C. Babuu alinaswa na mapaparazi wetu hivi karibuni  Hospitali ya Mwananyamala, Dar Kitengo cha Waathirika wa Madawa ya Kulevya (Methadone) ambapo Ray C hufika kila siku kwa ajili ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wewe ni Kijana Chini ya Miaka 40? Ujumbe Huu wa Ray Ukufikie

Watu wengi hawajui kwa nini wazungu huwa wanasema LIFE BEGINS AT 40. Yaani maisha yako ya kweli yataanza ukifika umri wa Miaka 40. Wakati ambapo unatakiwa uwe na elimu uliyoihitaji.. Uwe na familia yako tayari.. Uwe na kwako tayari siyo umepanga bado.. Uwe na usafiri binafsi.. Uwe na kitu chako cha kukuingizia pesa na si kutegemea ajira peke yake. At 40!

At 40 unatakiwa uwe umeshapata exposure kwa kusafiri huku na kule dunia hii kujua wengine walioendelea zaidi wanaishi vipi na wewe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baby Madaha amsaka Mtitu

MWIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Baby Madaha kwa wiki moja sasa amekuwa akimsaka Mkurugenzi wa kampuni ya 5 Effects, William Mtitu ili amkabidhi ‘muvi’ yake mpya inayokwenda kwa jina la...

 

10 years ago

GPL

BABA DIAMOND AMSAKA WEMA

Stori: Musa Mateja na Gladness Mallya Baada ya Wema Isaac Sepetu ‘Beautful Onyinye’ kummwaga mwanaye, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, baba mzazi wa jamaa huyo, Abdul Jumaa ‘Baba Diamond’, amenaswa akimsaka mrembo huyo ili kujua mbichi na mbivu. Baba mzazi wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’akigonga getini kwa Wema. ‘UBUYU’ KUTOKA KWA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo...

 

11 years ago

GPL

MCHUMBA AMSAKA JACK DUSTAN

Na Imelda Mtema
MCHUMBA wa aliyekuwa mshiriki wa Shindano la Maisha Plus (Season 2), Jack Dustan, Hamisi Ally ameibuka na kusema anamsaka mchumba wake huyo aliyepotea kwa takriban mwaka mzima tangu amvalishe pete ya uchumba. Aliyekuwa mshiriki wa Shindano la Maisha Plus (Season 2), Jack Dustan. Akizungumza na mwandishi wetu, Hamisi alisema kuwa alitarajia kuwa mpaka sasa wangekuwa wameshafunga ndoa lakini ghafla akasikia...

 

9 years ago

Mtanzania

The Game amsaka aliyevunja gari lake

The GameLOS ANGELES, Marekani

MSANII wa hip hop nchini Marekani, Jayceon Taylor ‘The Game’, amesema anamtafuta mtu aliyevunja vioo vya gari lake aina ya Lamborghini.

Mtandao wa TMZ umeeleza kwamba, msanii huyo alivamiwa na watu wasiojulikana na kuvunja vioo vya gari hilo likiwa limeegeshwa eneo la barabara.

Kupitia akaunti ya mtandao wa Instagram, msanii huyo amesema anamtafuta mtu aliyehusika na tukio hilo ili akabiliane naye.

“Kama kuna mtu anamjua mhusika wa tukio hilo anijulishe, nitatoa zawadi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU

Stori: Imelda Mtema
KATIKA hali inayoonesha kuna kitu kikubwa kinakuja mbeleni, msanii wa filamu, Chuchu Hans amejichora ‘tatuu’ inayosomeka kwa jina la Ray huku anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ naye akiwa amejichora tatuu inayosomeka kwa jina la Chuchu. Ray na Chuchu. Picha ambazo gazeti hili limezinasa zinawaonesha wawili hao wakipigia ‘promo’ uhusiano wao huku wadau...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani