KIJANA WA KIUME ANAYEVIZIMIKIA VIBIBI VYA ZAIDI YA MIAKA 60
![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKUkHOXRcXlsW0P-TSzK06txOvGmyStDaU0a0gD4TMeUCBX9rpR4NIBIICTwXAdmfqUfAcp93zDfxAlOagoIb9D-/25264AC8000005782930388imagea3_1422479616554.jpg?width=650)
Kyle Jones (31) akiwa na mpenzi wake, Karen, anasema huvutiwa tu na wanawake wanaomzidi umri kwa makumi kadhaa ya miaka. Huyu ndiye Kyle, kijana mtanashati anayeachwa hoi na penzi la vibibi vizee.…
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Je wanaume wenye umri wa miaka 50 na zaidi wanaathiriwa kwa kiwango gani?
11 years ago
Bongo522 Jul
Forbes: Waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi 2014
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Peter-Okoye-Lola-Okoye.jpg)
MASTAA WA KIUME WENYE MADEMU ‘VISU’ ZAIDI AFRIKA
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume
11 years ago
Habarileo13 Mar
Kijana adaiwa kubaka mtoto wa miaka 16
MKAZI wa kitongoji cha Misunkumilo mjini Namanyere, Zacharia Katembo (21) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nkasi kwa madia ya kumbaka mtoto.
Mshitakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo Jumanne wiki hii, mbele ya Hakimu Ramadhani Mgalamalira, ambapo alikana mashitaka ya kubaka mtoto mwenye umri wa miaka 16.
Hakimu Mgalamalira aliahirisha shauri hilo hadi Machi 23, mwaka huu, litakapotajwa tena. Pia aliamuru mshitakiwa kurejeshwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Chifu wa miaka 90 aliyepambana kuulinda msitu wa Amazon kwa zaidi ya miaka 50
10 years ago
Habarileo17 Apr
Kijana jela miaka 30 kwa kumlawiti mwanafunzi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Tabora imehukumu Masudi Nassor (20) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mwanafunzi wa kike wa shule ya msingi mwenye umri wa miaka tisa.
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya
11 years ago
CloudsFM18 Jul
Kijana amuua mtoto wa miaka 9 na ‘kutafuna ubongo’
Moshi. Mkazi mmoja wa Moshi amemuua mwanafunzi wa darasa la 3 kule Samanga leo na kisha 'kula ubongo' wa mtoto huyo katika tukio la kutisha lililostua wakazi wa mji huu.
Kijana huyu aliyefahamika kwa jina la Lawrence Mramba, 20, alimshambulia mtoto huyo mwenye umri wa miaka 9 kwa panga wakati akienda shule mnamo saa 1 asubuhi Ijumaa, akampasua kichwa na kisha akaanza kutafuna ‘vipande vya ubongo wake.’
Mara baada ya kitendo hicho cha kushtusha, Mramba, aliyeonekana kuwa na matatizo ya...