Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madaktari kupandikiza uume Marekani

Madaktari katika Hospitali ya chuo kikuu cha Hopkins nchini Marekani wamepanga kufanya upasuaji kwa ajili ya kupandikiza uume kwa mpiganaji wa zamani aliejeruhiwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Madaktari wapata idhini ya kupandikiza tumbo la Uzazi

Afueni kwa wanawake wenye matatizo ya kubeba ujauzito baada ya madaktari nchini Uingereza kupata idhini ya kupandikiza tumbo la uzazi

 

10 years ago

Vijimambo

MADAKTARI WA MAREKANI WAAGWA ZANZIBAR

Katibu Mkuu Afisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhev Salum Maulid akitowa shukrani kwa Madaktari Diaspora kwa ujio wao na kutoa huduma katika hospitali ya Mnazi mmoja na kuwataka hii siyo mwishi iwe ni endelevu kufika Zanzibar kutoa msaada wa Afya kwa Wananchi wake na kuipongeza Jumuiya ya Watanzania Washington kufanikisha ziara ya Madaktari hao Nchini Tanzania shukrani hizo amezitowa wakati wa kuwaaga katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.Madaktari Diaspora wakimsikiliza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Madaktari wa Marekani wawafunda wanachuo wa Chuo Afya Zanzibar

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar Ndg. Adila Hilal Vuai, akiutambulisha Ujumbe wa Madaktari Diaspora kutoka Washington walioletwa na Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Washington  wakali walipofika katika Chuo cha Elimu ya Afya Zanzibar walipofika hapo kutowa Elimu ya Afya ya Saratani ya Matiti na Mano, wakiwa Zanzibar kwa uwenyeji wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).

Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washinton Ndg....

 

10 years ago

Michuzi

Madaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa Chuo cha Eilimu ya Afya Kuhusiana na Saratani ya Matiti na Meno

Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washinton Ndg Iddi Sandaly akiutambulisha Ujumbe wa Madaktari 17 Diaspora, waliofika Zanzibar kutoa Tiba ya Maradhi ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Meno akitowa maelezo wakati walipofika katik Chuo cha Elimu ya Afya Mombasa Zanzibar, na kutowa Elimu ya kutambua Saratani ya Matiti kwa Kinamama. na kutowa huduma ya uchunguzi wa Meno.Rais wa Jumuiya ya Wanawake Afrika Washington (Africa Womens Cancer Awereness Association ) Dr Ify Anne Nwabukwu, akiutambulisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafanikio, changamoto ya kupandikiza mimba

Juma lililopita tuliweza kuona namna matumizi ya Upandikizaji wa Mimba kwenye mji wa Uzazi Kimaabara (IVF) maarufu kama ‘test tube baby’ inaweza kuwa msaada wa kutatua tatizo la ugumba kwa wenza wawili.

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa Chuo cha Eilimu ya Afya Kuhusiana na Saratani ya Matiti na Meno.Wakiwa Zanzibar

Madaktari wa kujitolea toka Marekani ambao wamepeletwa Tanzania na Jumuiya ya Watanzania DMV wakiratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa chini ya kitengo cha Diaspora leo siku ya Jumamosi July 25, 2015 walitembelea chuo cha elimu ya Afya na kutoa elimu ya afya ikiwemo Sratani ya Matiti.Madaktari wa kujitolea toka Marekani ambao wamepeletwa Tanzania na Jumuiya ya Watanzania DMV wakiratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa chini ya kitengo cha...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume

Mvulana mmoja amefanyiwa kile madaktari wanasema ni upasuaji wa kwanza wa kupunguza uume wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upandikishaji wa uume wafaulu A.Kusini

Kundi la madaktari wa upasuaji kutoka Afrika kusini limefanikiwa upandikishaji wa uume wa mwanadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani