Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madaktari wapata idhini ya kupandikiza tumbo la Uzazi

Afueni kwa wanawake wenye matatizo ya kubeba ujauzito baada ya madaktari nchini Uingereza kupata idhini ya kupandikiza tumbo la uzazi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Madaktari kupandikiza uume Marekani

Madaktari katika Hospitali ya chuo kikuu cha Hopkins nchini Marekani wamepanga kufanya upasuaji kwa ajili ya kupandikiza uume kwa mpiganaji wa zamani aliejeruhiwa

 

11 years ago

Michuzi

Serikali kuendelea kushirikiana na Chama cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA)

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake kutokata tamaa katika kuwahudumia wajawazito nchini.
Katika hotuba yake iliyosomwa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif Rashid katika uzinduzi wa Kongamano la 23 la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa mwaka wa wanachama Chama Cha Madaktari Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake Tanzania (AGOTA).
 Kongamano hilo la siku tatu lilianza juzi na linamalizika leo, Dar es salaam  ambapo Pinda alisema kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mafanikio, changamoto ya kupandikiza mimba

Juma lililopita tuliweza kuona namna matumizi ya Upandikizaji wa Mimba kwenye mji wa Uzazi Kimaabara (IVF) maarufu kama ‘test tube baby’ inaweza kuwa msaada wa kutatua tatizo la ugumba kwa wenza wawili.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

9 years ago

BBCSwahili

AU yasubiri idhini ya bunge la Burundi

Wabunge nchini Burundi wameanza mjadala kuhusu hatua ya muungano ya Afrika wa kutuma kikosi cha wanajeshi wapatao 5000 cha kulinda amani nchini humo

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron aomba idhini kukabili IS Syria

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron ameiomba bunge idhini ya kukabili IS nchini Syria ilikumaliza uwezo wake wa kuivamia

 

9 years ago

BBCSwahili

Idhini ya daktari kunywa pombe India

Licha ya jimbo la Gujarat India kupiga marufuku unywaji utengenezaji na unywaji pombe, takriban watu 60,000 wamepewa idhini ya kunywa pombe

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete amkabidhi Aga Khan Hati ya Idhini

RAIS Jakaya Kikwete amekabidhi Hati Idhini ya Chuo Kikuu cha Aga Khan kwa Mkuu wa Taasisi ya Aga Khan Duniani, Aga Khan huku akisema ana imani chuo hicho kitasaidia kupunguza pengo la rasilimali watu katika nyanja za sayansi, hesabu na utabibu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanawake 48 watolewa vizazi bila idhini zao

Mwanamke mmoja nchini Afrika Kusini ameiambia BBC jinsi alivyotolewa kizazi bila idhini yake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani