AU yasubiri idhini ya bunge la Burundi
Wabunge nchini Burundi wameanza mjadala kuhusu hatua ya muungano ya Afrika wa kutuma kikosi cha wanajeshi wapatao 5000 cha kulinda amani nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIiPj1MydQhba3n9ZqYHEx2pExu9XvffUA-q0F*z4Kp9DahzrJ22Rg*1lDQVymv3tzsX7voZ86II8SSQbmyeuU6/simba.jpg?width=650)
Simba yasubiri mamilioni ya Kapombe
11 years ago
Habarileo16 May
Mazungumzo ya mpaka yasubiri uchaguzi Malawi
JOPO la marais wa zamani wanaoshughulikia mgogoro wa Ziwa Nyasa baina ya Tanzania na Malawi, linasubiri kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Malawi unaotarajia kufanyika Jumanne ijayo, ili kuingia katika awamu ya pili ya mazungumzo ya kumaliza mgogoro huo.
10 years ago
Habarileo13 Mar
Tume yasubiri barua ya Spika kuhusu Zitto
TUME ya Uchaguzi imesema hata ikipokea barua kutoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe haina uwezo wa kuchukua hatua yoyote mpaka watakapopokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge.
10 years ago
Habarileo22 Apr
JKT yasubiri agizo la Rais kujenga Mwakata
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limesema linasubiri maelekezo ya maandishi ili kuanza kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwajengea nyumba 403 mpya waathirika waliobomolewa nyumba zao na mvua kubwa ya mawe na upepo mkali, iliyonyesha katika vijiji vitatu wilayani Kahama.
10 years ago
Vijimambo10 Dec
Tanzania yasubiri majibu ya Chissano usuluhishi Ziwa Nyasa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Bernad-Membe--December10-2014.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (pichani), amesema, serikali inasubiri majibu kutoka kwa kiongozi wa jopo la usuluhishi wa mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa, Rais wa zamani wa Msumbiji, Joachim Chissano.
Chissano kupitia Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) ndiye anayeongoza jopo la marais wastaafu wa Sadc kusukluhisha mgogoro huo wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi.
Membe aliiambia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2fDoUdgbPYk/VQpP0NhBKzI/AAAAAAAHLXQ/lPZ9x51CRhg/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Rais Kikwete awasili Burundi kulihutubia Bunge la EAC
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Idhini ya daktari kunywa pombe India
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Cameron aomba idhini kukabili IS Syria
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Darfur yasubiri haki baada ya mauaji ya 'kwanza ya kimbari katika karne ya 21'