Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AU yasubiri idhini ya bunge la Burundi

Wabunge nchini Burundi wameanza mjadala kuhusu hatua ya muungano ya Afrika wa kutuma kikosi cha wanajeshi wapatao 5000 cha kulinda amani nchini humo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Simba yasubiri mamilioni ya Kapombe

Shomari Kapombe. Na Nicodemus Jonas
KLABU ya Simba SC, imesema inasubiria mamilioni ya fedha kutoka kwa Klabu ya AS Cannes ya Ufaransa kutokana na mauzo ya Shomari Kapombe kwa Azam FC. Simba ilimpeleka nyota huyo Ufaransa mwaka jana, kwa makubaliano maalum, kuwa iwapo timu hiyo itafanikiwa kumuuza nyota huyo ndani ya miaka mitatu, basi wataambulia asilimia 40 za mauzo hayo huku 40 nyingine zikiliwa na Cannes wakati 20...

 

11 years ago

Habarileo

Mazungumzo ya mpaka yasubiri uchaguzi Malawi

JOPO la marais wa zamani wanaoshughulikia mgogoro wa Ziwa Nyasa baina ya Tanzania na Malawi, linasubiri kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Malawi unaotarajia kufanyika Jumanne ijayo, ili kuingia katika awamu ya pili ya mazungumzo ya kumaliza mgogoro huo.

 

10 years ago

Habarileo

Tume yasubiri barua ya Spika kuhusu Zitto

Ruth MashamTUME ya Uchaguzi imesema hata ikipokea barua kutoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe haina uwezo wa kuchukua hatua yoyote mpaka watakapopokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge.

 

10 years ago

Habarileo

JKT yasubiri agizo la Rais kujenga Mwakata

Rais Jakaya Kikwete.JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limesema linasubiri maelekezo ya maandishi ili kuanza kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwajengea nyumba 403 mpya waathirika waliobomolewa nyumba zao na mvua kubwa ya mawe na upepo mkali, iliyonyesha katika vijiji vitatu wilayani Kahama.

 

10 years ago

Vijimambo

Tanzania yasubiri majibu ya Chissano usuluhishi Ziwa Nyasa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (pichani), amesema, serikali inasubiri majibu kutoka kwa kiongozi wa jopo la usuluhishi wa mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa, Rais wa zamani wa Msumbiji, Joachim Chissano.

Chissano kupitia Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) ndiye anayeongoza jopo la marais wastaafu wa Sadc kusukluhisha mgogoro huo wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi.

Membe aliiambia...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awasili Burundi kulihutubia Bunge la EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jioni ya  Jumatano, Machi 18, 2015 amewasili nchini Burundi kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini humo. Kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa mji mkuu wa Burundi wa Bujumbura, Rais Kikwete amepokelewa na Rais wa Burundi Mheshimiwa Pierre Nkurunzinza na pamoja na mamia kwa mamia ya wananchi wa Burundi. Rais Kikwete ambaye amewasili Burundi akitokea Dodoma ambako alikuwa katika ziara ya kikazi pia leo Machi 19, 2015,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Idhini ya daktari kunywa pombe India

Licha ya jimbo la Gujarat India kupiga marufuku unywaji utengenezaji na unywaji pombe, takriban watu 60,000 wamepewa idhini ya kunywa pombe

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameron aomba idhini kukabili IS Syria

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron ameiomba bunge idhini ya kukabili IS nchini Syria ilikumaliza uwezo wake wa kuivamia

 

5 years ago

BBCSwahili

Darfur yasubiri haki baada ya mauaji ya 'kwanza ya kimbari katika karne ya 21'

Serikali ya Sudan imesema wale wote wanaotafutwa na ICC wakihusishwa na mauaji katika jimbo la Darfur watafikishwa katika mahakama ya ICC

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani