MADAKTARI WA MAREKANI WAAGWA ZANZIBAR
Katibu Mkuu Afisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhev Salum Maulid akitowa shukrani kwa Madaktari Diaspora kwa ujio wao na kutoa huduma katika hospitali ya Mnazi mmoja na kuwataka hii siyo mwishi iwe ni endelevu kufika Zanzibar kutoa msaada wa Afya kwa Wananchi wake na kuipongeza Jumuiya ya Watanzania Washington kufanikisha ziara ya Madaktari hao Nchini Tanzania shukrani hizo amezitowa wakati wa kuwaaga katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Madaktari Diaspora wakimsikiliza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Madaktari wa Marekani wawafunda wanachuo wa Chuo Afya Zanzibar
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora Zanzibar Ndg. Adila Hilal Vuai, akiutambulisha Ujumbe wa Madaktari Diaspora kutoka Washington walioletwa na Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Washington wakali walipofika katika Chuo cha Elimu ya Afya Zanzibar walipofika hapo kutowa Elimu ya Afya ya Saratani ya Matiti na Mano, wakiwa Zanzibar kwa uwenyeji wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa Diaspora na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ).
Rais wa Jumuiya ya Watanzania Washinton Ndg....
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboMadaktari Diaspora kutoka Marekani wakitowa Huduma ya Elimu kwa Wanafunzi wa Chuo cha Eilimu ya Afya Kuhusiana na Saratani ya Matiti na Meno.Wakiwa Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Madaktari kupandikiza uume Marekani
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Zanzibar kuongeza madaktari
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BgY45Fnsm7o/VYCK0HBE25I/AAAAAAAHgK4/9hKSuHPb5jQ/s72-c/unnamedd1.jpg)
MADAKTARI WA CHINA WAAGA KWA RAIS WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-BgY45Fnsm7o/VYCK0HBE25I/AAAAAAAHgK4/9hKSuHPb5jQ/s640/unnamedd1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-k4-YwlfLWYk/VYCK1BmGmtI/AAAAAAAHgK0/RjOMsEs_yLo/s640/unnamedd2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-X5UrWcE5g5M/VL-iMDeKk4I/AAAAAAAAPPY/y9TIZKorxHA/s72-c/IMG_2459.jpg)
DKT. SHEIN AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MADAKTARI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-X5UrWcE5g5M/VL-iMDeKk4I/AAAAAAAAPPY/y9TIZKorxHA/s640/IMG_2459.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wc-nPr5113k/VL-iLFevOVI/AAAAAAAAPPU/xJzOCqJzID0/s640/IMG_2453.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-isFSBaSPbDQ/VL-iNaS8t8I/AAAAAAAAPPk/vLL_lbAq2K4/s640/IMG_2452.jpg)
11 years ago
Michuzibenki ya watu wa zanzibar yadhamini Zanzibar heroes marekani
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.
Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia watu wawili miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba katika...