MADAKTARI WA CHINA WAAGA KWA RAIS WA ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-BgY45Fnsm7o/VYCK0HBE25I/AAAAAAAHgK4/9hKSuHPb5jQ/s72-c/unnamedd1.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Madaktari wa Kichina waliopo Zanzibar waliofika kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wao wa kazi katika Hospitali mbali mbali Unguja na Pemba (wa pili kulia) Balozi Mdogo wa China Nchini Tanzania anyefanyia kazi Zanzibar Mhe,Xie Yunliang.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akiwa katika mazungumzo na Balozi Mdogo wa China Nchini Tanzania anyefanyia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar awasilisha agizo la Serikali yake kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TrC4TyHFPKQ/U1zBUAVpaVI/AAAAAAAFdcY/Ka-s_bPNpX0/s1600/unnamed+(33).jpg)
9 years ago
Vijimambo01 Sep
TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/2.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/3.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/4.jpg)
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/5.jpg)
Wananchi mbalimbali wakipatiwa huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni Zanzibar.
Mwashungi Tahir Maelezo-Zanzibar
Jumla ya madaktari bingwa tisa kutoka nchini china wakishirikiyana na madaktari wa hapa Zanzibar wameweza kutoa...
9 years ago
MichuziMADAKTARI WA CHINA NA WAZALENDO WAKISHIRIKIANA KUTOA HUDUMA ZA AFYA KATIKA KIJIJI CHA KITOPE MKOA WA KASKAZIN WILAYA YA KASKAZINI B” ZANZIBAR
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nayxAP5_FnE/VnFz3TNAG8I/AAAAAAAIM3A/PWEt2kU4tRI/s72-c/DSC_4994.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEWA NA RAIS WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA CNOOC KUTOKA CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nayxAP5_FnE/VnFz3TNAG8I/AAAAAAAIM3A/PWEt2kU4tRI/s640/DSC_4994.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Jyl3VEfMy0M/VnFz3c4Hp3I/AAAAAAAIM3E/GZq_sOSR5NQ/s640/DSC_5040.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya China National Offshore Oil Company ltd (CNOOC) ulifoka Ikulu Mjini Zanzibar kuonana na Rais, ugeni huo ukiongozwa na Balozi wa China...
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS WA CHINA AWASILI ZANZIBAR
5 years ago
MichuziRais wa Zanzibar Dkt. Shein afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa China
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rO-fD9Yy4is/U6w3VfXEWdI/AAAAAAAFtFE/LqXT2koGB9c/s72-c/002.jpg)
Makamu wa Rais wa China akutana na Makamu Wa pili wa Rais wa Zanzibar
Kauli hiyo imetolewa na Makamu wa Rais wa China Bwana Li Yuanchao wakati yeye na ujumbe wake alipofanya mazungumzo Rasmi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiuongoza Ujumbe wa Zanzibar kwa Niaba ya Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti...
10 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Jakaya Kikwete awapongeza Madaktari bingwa wa Moyo kwa upasuaji
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kupiga picha ya pamoja na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Freddy Maro).