Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Siwezi kusahau mwanagu alivyokatwa uume’

>Ni furaha ya kila mzazi kupata mtoto mwenye siha  njema na mtimilifu wa viungo. Lakini ilikuwa bahati mbaya kwa Mario Sanga, ambaye licha ya kubarikiwa kupata mtoto wa kiume mwenye afya  bora, aliyekamilika, kufumba na kufumbua mtoto huyo amepata ulemavu ambao ni adhabu  pia upungufu mkubwa kwa mwanaume yeyote duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SAJENTI: SIWEZI KUSAHAU KITENDO CHA CHAZ BABA KUMKANA MWANANGU

MIMI napenda kukuuliza kwa nini uliachana na mwanamuziki Chaz Baba na inavyoonekana mnaendana sana? Selemani Alifa, Dar, 0718803204
SAJENTI: Kila kitu kina wakati wake hivyo ule ulikuwa ni wakati wangu lakini haikuwa riziki. Mwanamuziki Chaz Baba. PICHA ZA UTUPU
Kwa nini unapenda kupiga picha za utupu? Huoni kama unaishusha hadhi yako? Andrew Kazala, Dar, 0717179570
SAJENTI: Sijawahi kupiga picha za utupu. URAFIKI
...

 

9 years ago

Mwananchi

Nisikilize mwanagu

Nisikize mwanangu, haya ninayoongea, Hali yangu mbaya sana, mwenyewe wajionea, Tumaini sina tena, sioni pa kuponea, Sijiwezi sitapona, kaburi laningojea.

 

10 years ago

Raia Mwema

Jinsi Lowassa alivyokatwa

MVURUGANO mkubwa ulizuka katika kikao cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya wajum

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

GPL

BABU ALIVYOKATWA NYETI,KISA MAPENZI

Maskini! Mzee aliyefahamika kwa majina ya London Haonga (61) mkazi wa Kijiji cha Mapogolo, Kata ya Mbebe wilayani Ileje mkoani hapa hana tena nyeti zake kufuatia tukio la kukatwa sehemu hizo lililokuwa kama sinema, Amani lina ripoti kamili. Kwa mujibu wa shuhuda wetu kijijini hapo, tukio hilo la kusikitisha lilitokea mishale ya saa mbili usiku wa Aprili 19, mwaka huu mzee huyo alifanyiwa unyama huo na watu watatu wasiofahamika...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda avunja ukimya alivyokatwa Dodoma

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema hawezi kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuwataka waliohama baada ya kubwagwa kwenye kinyang’anyiro cha kugombea urais, kujiuliza iwapo wataihama nchi wakishindwa kufanikisha malengo yao huko walikohamia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ugonjwa wa kusahau umetelekezwa

Mtaalamu wa maradhi ya Ki-akili ya dementia Daktari Dennis Gillings, amelalamikia mwendo wa Kobe katika taratibu ya kupata tiba

 

5 years ago

BBCSwahili

Ajali ya ndege ya Pakistan: 'Hatuwezi kusahau'

Katika ajali ya ndege ya Pakistan, mtu mmoja alipoteza familia yake yote ya watu watano

 

10 years ago

GPL

BOBBY BROWN AOMBA MSAMAHA KWA KUSAHAU MASHAIRI

Mwanamuziki wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown. GEORGIA, Marekani
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani. Bobby hakuonekana kabisa mwenye furaha katika tamasha hilo ambalo ni la pili kufanya tangu Januari… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume

Mvulana mmoja amefanyiwa kile madaktari wanasema ni upasuaji wa kwanza wa kupunguza uume wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani