Pinda avunja ukimya alivyokatwa Dodoma
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema hawezi kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuwataka waliohama baada ya kubwagwa kwenye kinyang’anyiro cha kugombea urais, kujiuliza iwapo wataihama nchi wakishindwa kufanikisha malengo yao huko walikohamia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Jul
Mwinyi avunja ukimya kilichotokea Dodoma
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amevunja ukimya kuhusu namna mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM, ulivyokuwa mkoani Dodoma mpaka akapatikana Dk John Magufuli.
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Mo Farah avunja ukimya
10 years ago
Habarileo26 May
Lowassa avunja ukimya
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amezungumzia kwa mara ya kwanza sakata la Richmond lililosababisha ajiuzulu wadhifa huo, akisema alichukua tahadhari katika suala hilo na kuwa ubishi wa kisiasa umeligharimu Taifa kulipa mabilioni ya dola za Marekani.
9 years ago
Habarileo17 Aug
Nchimbi avunja ukimya CCM
MMOJA wa makada wa CCM aliyewania kuteuliwa na chama hicho kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Dk John Nchimbi, ameibuka na kudai kuwa, hana kinyongo na yaliyotokea Dodoma huku akionesha kuwashangaa wanaoendelea kunung’unika, akisema watu wa aina hiyo hawakuwa pamoja na chama.
10 years ago
Bongo Movies20 May
Lucy Avunja Ukimya Kuhusu Ndikumana
Staa wa Bongo Movie ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni, Lucy komba ameamua kuelezea tuhuma zinazomkabili za kua na uhusiano wa kimapenzi na Hamad Ndikumana, aliekua mme wa msanii mwenzake Irene Uwoya.Akizungumza na gazeti la sani Lucy ameelezea kwamba hakuna jambo lolote linalowakutanisha na Hamad zaidi ya filamu iitwayo "Kwanini nisimuoe" inayohusisha watu wawili tu.
Lucy alisema walipokua wanarekodi filamu hiyo ndio uvumi mwingi ulianzishwa. Ingawa mashabiki wengi walipinga kuwa...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Lampard avunja ukimya, afunga ndoa na Christine
LONDON, ENGLAND
NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester City na Chelsea, Frank Lampard, amefanikiwa kufunga ndoa juzi na mke wake ambaye ni mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha BBC nchini England, Christine Bleakley.
Kiungo huyo wa zamani wa timu ya Taifa ya England mwenye umri wa miaka 37, ameamua kukamilisha ahadi yake baada ya kukaa kwenye uchumba kwa miaka minne na Christine.
Ndoa hiyo ilifungwa kwenye Kanisa la St Paul’s lililopo Knightsbridge, jijini London, ambapo wachezaji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yh4dCPHV6KZ*T1nccQwLo5CfkwVMkbp8vtfZ8ityX-aUhM5GOUEZEenCRkI7h-TYy6ggsqCwnmNEj1QHDiF190*/MonicaLewinsky.jpg?width=650)
MONICA LEWINSKY AVUNJA UKIMYA KUHUSU MAHUSIANO YAKE NA BILL CLINTON
9 years ago
MichuziMHE. RIDHIWAN KIKWETE AVUNJA UKIMYA, AZUNGUMZIA MAKONTENA NA MALI ANAZODAIWA KUMILIKI..
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia na dhamira mbaya dhidi yangu na hata familia yangu.
Hivi...