Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugonjwa wa kusahau umetelekezwa

Mtaalamu wa maradhi ya Ki-akili ya dementia Daktari Dennis Gillings, amelalamikia mwendo wa Kobe katika taratibu ya kupata tiba

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Siwezi kusahau mwanagu alivyokatwa uume’

>Ni furaha ya kila mzazi kupata mtoto mwenye siha  njema na mtimilifu wa viungo. Lakini ilikuwa bahati mbaya kwa Mario Sanga, ambaye licha ya kubarikiwa kupata mtoto wa kiume mwenye afya  bora, aliyekamilika, kufumba na kufumbua mtoto huyo amepata ulemavu ambao ni adhabu  pia upungufu mkubwa kwa mwanaume yeyote duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ajali ya ndege ya Pakistan: 'Hatuwezi kusahau'

Katika ajali ya ndege ya Pakistan, mtu mmoja alipoteza familia yake yote ya watu watano

 

10 years ago

GPL

BOBBY BROWN AOMBA MSAMAHA KWA KUSAHAU MASHAIRI

Mwanamuziki wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown. GEORGIA, Marekani
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani. Bobby hakuonekana kabisa mwenye furaha katika tamasha hilo ambalo ni la pili kufanya tangu Januari… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Simu za kisasa Zinawaathiri wengi kisaikolojia hata kusahau majukumu

Matumizi ya mitandao ya kijamii kwa sasa ndiyo habari ya mjini. Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la watu wanaotumia mitandao ya kijamii sehemu mbalimbali duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji haramu watumia muziki kusahau shida zao Italia

Wahamiaji haramu watumia muziki kusahau shida zao Italia.

 

11 years ago

GPL

SAJENTI: SIWEZI KUSAHAU KITENDO CHA CHAZ BABA KUMKANA MWANANGU

MIMI napenda kukuuliza kwa nini uliachana na mwanamuziki Chaz Baba na inavyoonekana mnaendana sana? Selemani Alifa, Dar, 0718803204
SAJENTI: Kila kitu kina wakati wake hivyo ule ulikuwa ni wakati wangu lakini haikuwa riziki. Mwanamuziki Chaz Baba. PICHA ZA UTUPU
Kwa nini unapenda kupiga picha za utupu? Huoni kama unaishusha hadhi yako? Andrew Kazala, Dar, 0717179570
SAJENTI: Sijawahi kupiga picha za utupu. URAFIKI
...

 

9 years ago

Bongo5

Dully Sykes: Sitowasaidia tena wasanii wachanga, wakipata ni wepesi kusahau

Dully

Dully Sykes amesema amefunga mlango wa kuwasaidia wasanii wachanga kwa madai aliowasaidia bado hawajamrudishia fadhila.

Dully

Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Tuachie’ hivi karibuni akiwa na Yamoto Band, amekiambia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV kuwa haba tena muda wa kusaidiana bali anachohitaji ni pesa.

“Up coming artists mimi siwahitaji tena kwenye studio yangu,” alisema. “Mimi nahitaji aje alipe na bei yangu ni ile ile. Nimesaidia wengi mpaka leo wanapata pesa zao na hawanikumbuki hata...

 

9 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani