Wasanii tunaogopa kutoa ngoma hovyo – Linex
Linex amesema mwaka huu hatatoa tena wimbo ili apate muda wa kujipanga zaidi kwaajili ya mwaka ujao.
Linex amekiri kuwa kuna baadhi ya wasanii sasa hivi wamekuwa waoga wa kutoa nyimbo zao hovyo kutokana na muziki kubadilika.
“Game inahitaji mipango sasa hivi, yaani manyimbo yapo kibao tu ndani ila sasa kutoa ndio inakuwa shida,” ameiambia Bongo5.
“Sasa hivi hata ukiangalia wasanii wanaogopa kutoa single hovyo kama zamani. Sasa hivi unahitaji kufanya muziki ambao utanufaika nao yaani hata...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 Dec
RC aonya siasa za hovyo hovyo Arusha
MKUU mpya wa Mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda `Kijiko’ amevitaka vyama vya siasa mkoani hapa kuepuka siasa zozote zinazoingilia utendaji wa Serikali na kusisitiza atapambana hadi dakika za mwisho ili kuhakikisha siasa hizo hazipati nafasi.
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili
10 years ago
Bongo512 Mar
Diddy kutengeneza ngoma za Kanye West na wasanii wengine
10 years ago
GPL06 Jan
10 years ago
Vijimambo11 Feb
DOGO ALIYE KATAZWA KUTOA NGOMA NA MR BLUE KAIACHIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-n4tGIGXsRTI%2FVMpFR3_8dpI%2FAAAAAAAAHBw%2FOsrAtKivb1w%2Fs1600%2FIMG_3774%252Bcopy.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Wasanii kutoa wimbo wa amani
10 years ago
Bongo507 Jan
Producer Dupy adai wasanii wakubwa ni mabingwa wa kurekodi ngoma bure!
9 years ago
Habarileo02 Sep
Wasanii Injili kutoa wimbo wa amani
WAIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili wanatarajiwa kutoa wimbo maalumu wa kuhamasisha amani na upendo wakati wa Tamasha la Amani litakalofanyika Oktoba 4, mwaka huu.