Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hizi ndio single mbili za Matonya zilizompa mkwanja mrefu katika maisha yake ya muziki…..

Ninajua nina watu wangu ambao mtakuwa na hamu ya kufahamu stori za wasanii waliokuwa wakitamba enzi zile, sasa hapa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Seif Shaban aka Matonya ambaye amefunguka kuhusiana na single mbili zilizompa mkwanja mrefu katika historia yake ya muziki. Akiongea exclusive interview na ripota wa […]

The post Hizi ndio single mbili za Matonya zilizompa mkwanja mrefu katika maisha yake ya muziki….. appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Gisele Bundchen:Mwanamitindo anayevuta ‘mkwanja’ mrefu zaidi

Fani ya mitindo imekuwa haipewi kipaumbele kikubwa nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki kwa jumla.

 

10 years ago

Mwananchi

Hugh Masekela, mpiga tarumbeta mwenye mkwanja mrefu barani Afrika

Hugh Masekela linaweza kuwa jina geni kwa vijana, lakini kwa wafuatiliaji wa muziki wa Jazz wanamfahamu vyema nyota huyu.

 

10 years ago

Bongo5

Linex: Nimeingiza mkwanja mrefu mwaka 2014 kuliko miaka yote

Mwaka 2014 umekuwa wenye neema kuliko miaka yote kwa Linex Sunday Mjeda kwakuwa anadai ameingiza mkwanja mrefu zaidi. Linex ameiambia Bongo5 kuwa anafikiri yeye ni msanii pekee aliyefanya matangazo mengi ya biashara ya redio kuliko wasanii wote wa Tanzania. “Toka nimeanza kufanya Bongo Flava, hakuna mwaka nimefanikiwa kama mwaka huu,” amesema Linex. “Mwaka huu nimefanya […]

 

9 years ago

Bongo5

Lil Wayne adai Birdman amewaibia Drake, Nicki Minaj na Tyga mkwanja mrefu

Ugomvi kati ya Young Money na Cash Money unaendelea kuwa mkubwa zaidi baada ya Lil Wayne kutoa madai mapya. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Wayne anadai kuwa na maelezo kutoka kwa wawakilishi wa Drake na Tyga yakisema wameibiwa fedha nyingi. Kwa upande wa Nicki Minaj, anadai kuwa Young Money imemfanyia uhuni kwa kushindwa kuwalipa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mwanamume mweye jinsi mbili asimulia maisha yake

Mwanamume mwenye jinsi mbili, amezungumza na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na kusema kama wazazi wake wangemshauri kuhusu hali hiyo, asingeogopa kujitambulisha ulimwenguni.

 

10 years ago

Bongo Movies

Rose Ndauka Awapasha Wanaofuatilia Maisha Yake...Kisa Namkasa? Picha Hizi!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu za hapa bongo, Rose Ndauka ambae ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao ni “followers” wake kwenye mtandao wa Instagram ambao walimshambulia sana kwa maneno baada ya yeye kuweka picha hiyo hapo juu akiwa amekaa na “jamaa” huku amemfunika uso.

Chokochoko

Baadhi ya watu hao walichukulia kwamba huyu jamaa pichani ndio “PROJECT” mpya ya Rose hivyo wakaanza kumshabulia mwananadada Rose kwa maneno kuwa hajatulia na ndiomana aliachika kwa bwana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani