TAZAMA VIDEO YA DAVIDO AKIMPONDA DIAMOND KUWA NYIMBO ZAKE HAZIPIGWI WIKI HII ALIPOKUWA KENYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pe4JuzwJAow/VRpRPH6XqtI/AAAAAAAArBo/IQHO8nOCTOU/s72-c/larry.jpg)
When asked by Larry whether East African music receives airplay in Nigeria, Davido gave a brutally honest NO. He even admitted that this collabo with Diamond ‘Number One’ is not played in Nigeria. As true as it may be, that came out badly from a guy who was about to perform in Kenya.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Nov
Davido Exposed: Tazama video 5 za Davido ambazo hakuwahi kuzitoa
![davido A](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/davido-A-300x194.jpg)
Mwezi uliopita kituo cha MTV Base kilimfanyia mahojiano staa wa Nigeria, Davido kwenye kipindi maalum kilichopewa jina la ‘Davido Exposed’, ambapo alitambulisha video 5 ambazo hakuwahi kuzitoa. Video hizo ni za nyimbo za kwenye album yake ya kwanza ‘O.B.O’.
Kama kipindi hicho kilikupita kupitia MTV Base hii ni nafasi yako nyingine ya kukitazama na kuziona video 5 za Davido ambazo hakuzitoa. Pia amezungumzia mambo mengine ikiwemo album yake mpya ambayo kwa sasa ameisogeza mpaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k7T1dgUl1FaUrYffK49q*Ko93PJcj73QljORVTBKUidMRORyJqbXjd6QSgjHRUGemSIR-ptKSqZSaMjbnwsqO-O/davidop1602x903.jpg?width=650)
DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/q5lYMnjCkUE/default.jpg)
10 years ago
Bongo509 May
Amber Rose amchana Kanye West kuwa huandikiwa nyimbo zake
9 years ago
Bongo528 Oct
Nyimbo 3 mpya za Weusi hazitatoka tena wiki hii, Nikki Wa Pili aeleza sababu
9 years ago
Bongo502 Dec
Msechu akiri kuwa yeye si mwandishi mzuri, afungua milango kwa yeyote kumwandikia nyimbo zake
![Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Msechu-300x194.jpg)
Peter Msechu ni miongoni mwa wasanii wachache ambao hawaoni shida kukiri kuwa si wazuri kwenye upande wa uandishi wa nyimbo, licha ya kuwa na kipaji na uwezo mkubwa wa kuimba na kucheza vyombo vya muziki.
Baadhi ya wasanii (wa Bongo) huwa hawapendi kusema ukweli pale wanapoandikiwa nyimbo na wasanii wengine, kwa kudhani watu wakijua wameandikiwa inaweza kuwapunguzia thamani.
Msechu ambaye ameachia wimbo mpya wiki iliyopita, amesema kuwa baada ya kugundua kuwa sio mzuri kwenye upande wa...