Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAZAMA VIDEO YA DAVIDO AKIMPONDA DIAMOND KUWA NYIMBO ZAKE HAZIPIGWI WIKI HII ALIPOKUWA KENYA


When asked by Larry whether East African music receives airplay in Nigeria, Davido gave a brutally honest NO. He even admitted that this collabo with Diamond ‘Number One’ is not played in Nigeria. As true as it may be, that came out badly from a guy who was about to perform in Kenya.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Davido Exposed: Tazama video 5 za Davido ambazo hakuwahi kuzitoa

davido A

Mwezi uliopita kituo cha MTV Base kilimfanyia mahojiano staa wa Nigeria, Davido kwenye kipindi maalum kilichopewa jina la ‘Davido Exposed’, ambapo alitambulisha video 5 ambazo hakuwahi kuzitoa. Video hizo ni za nyimbo za kwenye album yake ya kwanza ‘O.B.O’.

davido A

Kama kipindi hicho kilikupita kupitia MTV Base hii ni nafasi yako nyingine ya kukitazama na kuziona video 5 za Davido ambazo hakuzitoa. Pia amezungumzia mambo mengine ikiwemo album yake mpya ambayo kwa sasa ameisogeza mpaka...

 

10 years ago

GPL

DAVIDO AELEZA ANAVYOCHANGANYA NYIMBO ZAKE AKIWA NJE

Mwanamuziki nyota wa Nigeria, Davido. MWANAMUZIKI nyota wa Nigeria, Davido, amesema ukosefu wa mafuta nchini humo uliotokea miezi ya Mei na Juni mwaka huu  ambao ulisababisha matatizo makubwa, ulimfanya alazimike kuahirisha kutoa albamu yake mpya hivi karibuni. Akizungumza na televisheni ya Notjustok, Davido alisema pia kwamba huwa anachanganya lugha za nyimbo zake akiwa nje ya Nigeria, hususan Marekani, ambako hutegemea...

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose amchana Kanye West kuwa huandikiwa nyimbo zake

Amber Rose amemchana mpenzi wake wa zamani, Kanye West. Wakati wa show kwenye kiota cha Supperclub huko L.A., Rose aliongea maneno yaliyoashiria kuwa nyimbo za Kanye West huandikwa Travi$ Scott. “Stop playing n**gas I used to f**k,” Amber aliyekuwa amelewa alimwambia. “Why don’t we play the ni**a that writes the songs for the other ni**a—Travi$ […]

 

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 3 mpya za Weusi hazitatoka tena wiki hii, Nikki Wa Pili aeleza sababu

Mashabiki wa Weusi waliokuwa wakisubiri kwa hamu kupokea kazi mpya kutoka kwa wasanii wa kundi hilo,wanalazimika kuvuta subira kwasababu nyimbo mpya pamoja na video za Joh makini, Nikki Wa Pili na G-Nako zilizokuwa zitoke wiki hii hazitatoka tena wiki hii. Nikki wa Pili ameiambia Bongo5 kuwa yeye na wenzake wametafakari hali ilivyo hivi sasa na […]

 

9 years ago

Bongo5

Msechu akiri kuwa yeye si mwandishi mzuri, afungua milango kwa yeyote kumwandikia nyimbo zake

Msechu

Peter Msechu ni miongoni mwa wasanii wachache ambao hawaoni shida kukiri kuwa si wazuri kwenye upande wa uandishi wa nyimbo, licha ya kuwa na kipaji na uwezo mkubwa wa kuimba na kucheza vyombo vya muziki.

Msechu

Baadhi ya wasanii (wa Bongo) huwa hawapendi kusema ukweli pale wanapoandikiwa nyimbo na wasanii wengine, kwa kudhani watu wakijua wameandikiwa inaweza kuwapunguzia thamani.

Msechu ambaye ameachia wimbo mpya wiki iliyopita, amesema kuwa baada ya kugundua kuwa sio mzuri kwenye upande wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani