Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Juan Quadrado atua Chelsea, Fletcher wa Man U atimkia West Brom, Andre Schurrle ameuzwa Wolfsburg

imageimageChelsea wamemsajili winga Juan Cuadrado kutoka Fiorentina, katika biashara kubwa zaidi iliyofanyika siku ya mwisho ya usajili wa dirisha dogo.

Jose Mourinho alikuwa akidai kwamba hawangesajili mchezaji yeyote wakati huu, lakini wametoa pauni milioni 23.3 kumnasa mchezaji huyo, na kufanya jumla ya fedha zilizotumiwa na klabu za ligi kuu kwenye usajili huu kufikia pauni milioni 130.

Matumizi hayo ni sawa na ya kipindi kama hiki msimu uliopita, lakini ni madogo zaidi ya Januari 2011 yaliyokuwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

West Brom 2-3 Chelsea 72''

West Brom wanaialika Chelsea nyumbani kwao huku wakifahamu fika kuwa kocha Mourunho anahitaji ushindi kwa udi na uvumba kufufua kampeini yake

 

10 years ago

BBCSwahili

West Brom waifunga Chelsea 3-0

West Brom imewachabanga mabingwa ligi kuu ya England Chelsea jumla ya mabao 3-0.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatoka sare ya 1-1 na West Brom

Chelsea imepoteza nafasi ya kusalia kileleni mwa ligi kuu ya Premier baada ya kutoka sare na West Brom

 

10 years ago

BBCSwahili

De Gea, Reid, Schurrle,Fletcher wawindwa

Kuna mvutano miongoni mwa Vilabu mbalimbali kuwawania Wachezaji Nyota

 

10 years ago

BBCSwahili

West Brom na Man U kibaruani leo

Baada ya Liverpool kupata ushindi dhidi ya Queens Park Rangers Boss wa Swansea Garry Monk amlalamikia Victor Moses

 

10 years ago

StarTV

Man Utd yaambulia sare ya 2-2 na West Brom.

Ligi kuu ya England imeendelea jana usiku ambapo Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu na kushindwa kufurukuta ugenini kwa Westbromwich Albion na kutoka sare ya mabao 2-2 licha kwamba ilitawala mchezo huo.

 
Mchezo huo wa pekee kwa ratiba ya ligi hiyo ulishuhudiwa Man United ikishindwa kupata walau ushindi wake wa kwanza nje ya uwanja wake wa nyumbani tangu timu hiyo iwe chini ya kocha Louis Van Gaal.

 
Ni bao la Daley Blind katika dakika za mwisho za mchezo ambalo limeiokoa Manchester...

 

10 years ago

BBCSwahili

Andre Schurrle aeleza hisia zake

Mchezaji wa zamani wa Chelsea Andre Schurrle amesema alipata mshangao kuona ujumbe wa maandishi kuwa medali inamsubiri yeye

 

10 years ago

TheCitizen

City ease past 10-man West Brom, Arsenal and Spurs win

London. Manchester City retained their slim title hopes thanks to a 3-0 win against 10-man West Bromwich Albion but Arsenal are hot on their heels after a 2-1 victory against Newcastle United in the Premier League on Saturday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea kumuuza mchezaji Schurrle

Chelsea imekubali kumuuza mshambuliaji wake Andre Schurrle ili kupata ufadhili wa kumsajili Juan Cuadrado.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani