Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


West Brom na Man U kibaruani leo

Baada ya Liverpool kupata ushindi dhidi ya Queens Park Rangers Boss wa Swansea Garry Monk amlalamikia Victor Moses

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

StarTV

Man Utd yaambulia sare ya 2-2 na West Brom.

Ligi kuu ya England imeendelea jana usiku ambapo Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu na kushindwa kufurukuta ugenini kwa Westbromwich Albion na kutoka sare ya mabao 2-2 licha kwamba ilitawala mchezo huo.

 
Mchezo huo wa pekee kwa ratiba ya ligi hiyo ulishuhudiwa Man United ikishindwa kupata walau ushindi wake wa kwanza nje ya uwanja wake wa nyumbani tangu timu hiyo iwe chini ya kocha Louis Van Gaal.

 
Ni bao la Daley Blind katika dakika za mwisho za mchezo ambalo limeiokoa Manchester...

 

10 years ago

TheCitizen

City ease past 10-man West Brom, Arsenal and Spurs win

London. Manchester City retained their slim title hopes thanks to a 3-0 win against 10-man West Bromwich Albion but Arsenal are hot on their heels after a 2-1 victory against Newcastle United in the Premier League on Saturday.

 

10 years ago

Vijimambo

Juan Quadrado atua Chelsea, Fletcher wa Man U atimkia West Brom, Andre Schurrle ameuzwa Wolfsburg

imageimageChelsea wamemsajili winga Juan Cuadrado kutoka Fiorentina, katika biashara kubwa zaidi iliyofanyika siku ya mwisho ya usajili wa dirisha dogo.

Jose Mourinho alikuwa akidai kwamba hawangesajili mchezaji yeyote wakati huu, lakini wametoa pauni milioni 23.3 kumnasa mchezaji huyo, na kufanya jumla ya fedha zilizotumiwa na klabu za ligi kuu kwenye usajili huu kufikia pauni milioni 130.

Matumizi hayo ni sawa na ya kipindi kama hiki msimu uliopita, lakini ni madogo zaidi ya Januari 2011 yaliyokuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

West Brom 2-3 Chelsea 72''

West Brom wanaialika Chelsea nyumbani kwao huku wakifahamu fika kuwa kocha Mourunho anahitaji ushindi kwa udi na uvumba kufufua kampeini yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yaicharaza West Brom 3-0

Wilfried Bonny alifunga bao lake la kwanza na kuiweka kifua mbele Mancity baada Gareth McAuley wa West Brom kupewa kadi nyekundu.

 

10 years ago

BBC

West Brom 0-3 Manchester City

Ivory Coast's Yaya Toure inspires Manchester City to victory at West Brom as Raheem Sterling makes his debut for the visitors.

 

10 years ago

BBCSwahili

West Brom waifunga Chelsea 3-0

West Brom imewachabanga mabingwa ligi kuu ya England Chelsea jumla ya mabao 3-0.

 

9 years ago

BBCSwahili

Manchester United yaisakama West Brom

Jesse Lingard alifunga bao lake la kwanza akiichezea Manchester United huku timu hiyo ya Louis Van Gaal ikiishinda West Bromwich.

 

10 years ago

BBCSwahili

Epl: Everton yaitambia West brom

Klabu ya soka ya Everton imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya West Bromwich Albion katika mchezo wa ligi kuu ya England

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani