Man Utd yaambulia sare ya 2-2 na West Brom.
Ligi kuu ya England imeendelea jana usiku ambapo Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu na kushindwa kufurukuta ugenini kwa Westbromwich Albion na kutoka sare ya mabao 2-2 licha kwamba ilitawala mchezo huo.
Mchezo huo wa pekee kwa ratiba ya ligi hiyo ulishuhudiwa Man United ikishindwa kupata walau ushindi wake wa kwanza nje ya uwanja wake wa nyumbani tangu timu hiyo iwe chini ya kocha Louis Van Gaal.
Ni bao la Daley Blind katika dakika za mwisho za mchezo ambalo limeiokoa Manchester...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Chelsea yatoka sare ya 1-1 na West Brom
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
West Brom na Man U kibaruani leo
10 years ago
TheCitizen23 Mar
City ease past 10-man West Brom, Arsenal and Spurs win
10 years ago
Vijimambo03 Feb
Juan Quadrado atua Chelsea, Fletcher wa Man U atimkia West Brom, Andre Schurrle ameuzwa Wolfsburg
![image](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/02/image1-634x400.jpg)
![image](http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2015/02/image2.jpg)
Jose Mourinho alikuwa akidai kwamba hawangesajili mchezaji yeyote wakati huu, lakini wametoa pauni milioni 23.3 kumnasa mchezaji huyo, na kufanya jumla ya fedha zilizotumiwa na klabu za ligi kuu kwenye usajili huu kufikia pauni milioni 130.
Matumizi hayo ni sawa na ya kipindi kama hiki msimu uliopita, lakini ni madogo zaidi ya Januari 2011 yaliyokuwa...
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Martial asaidia Man Utd kuondoka na sare Urusi
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Liverpool yaambulia sare kwa Arsenal
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS3VX4CHlPtGb7IZG1UyZYKm1UA8rEv4loCDJNMM54E62hRnUzWcYvlPo7iY9xPWjV-Ch3HNV2beu-jYiWeVN8QP/SIMBA.jpg?width=650)
MNYAMA HOI TAIFA, AZAM YAAMBULIA SARE CHAMAZI
10 years ago
Vijimambo08 Nov
SARE SARE MAUA YA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN
![](https://lh3.googleusercontent.com/-lteDbPB0k6Q/VFzyB8hv2rI/AAAAAAAALW0/iLFg56JFIIw/w426-h549/kimkanyevv.jpg)
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
West Brom 2-3 Chelsea 72''