Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man Utd yaambulia sare ya 2-2 na West Brom.

Ligi kuu ya England imeendelea jana usiku ambapo Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu na kushindwa kufurukuta ugenini kwa Westbromwich Albion na kutoka sare ya mabao 2-2 licha kwamba ilitawala mchezo huo.

 
Mchezo huo wa pekee kwa ratiba ya ligi hiyo ulishuhudiwa Man United ikishindwa kupata walau ushindi wake wa kwanza nje ya uwanja wake wa nyumbani tangu timu hiyo iwe chini ya kocha Louis Van Gaal.

 
Ni bao la Daley Blind katika dakika za mwisho za mchezo ambalo limeiokoa Manchester...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatoka sare ya 1-1 na West Brom

Chelsea imepoteza nafasi ya kusalia kileleni mwa ligi kuu ya Premier baada ya kutoka sare na West Brom

 

10 years ago

BBCSwahili

West Brom na Man U kibaruani leo

Baada ya Liverpool kupata ushindi dhidi ya Queens Park Rangers Boss wa Swansea Garry Monk amlalamikia Victor Moses

 

10 years ago

TheCitizen

City ease past 10-man West Brom, Arsenal and Spurs win

London. Manchester City retained their slim title hopes thanks to a 3-0 win against 10-man West Bromwich Albion but Arsenal are hot on their heels after a 2-1 victory against Newcastle United in the Premier League on Saturday.

 

10 years ago

Vijimambo

Juan Quadrado atua Chelsea, Fletcher wa Man U atimkia West Brom, Andre Schurrle ameuzwa Wolfsburg

imageimageChelsea wamemsajili winga Juan Cuadrado kutoka Fiorentina, katika biashara kubwa zaidi iliyofanyika siku ya mwisho ya usajili wa dirisha dogo.

Jose Mourinho alikuwa akidai kwamba hawangesajili mchezaji yeyote wakati huu, lakini wametoa pauni milioni 23.3 kumnasa mchezaji huyo, na kufanya jumla ya fedha zilizotumiwa na klabu za ligi kuu kwenye usajili huu kufikia pauni milioni 130.

Matumizi hayo ni sawa na ya kipindi kama hiki msimu uliopita, lakini ni madogo zaidi ya Januari 2011 yaliyokuwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Martial asaidia Man Utd kuondoka na sare Urusi

Anthony Martial aliisaidia Manchester United kunusuru alama moja wakicheza dhidi ya CSKA Moscow katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada yake kusababisha penalti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaambulia sare kwa Arsenal

Liverpool wakiwa uwanja wa nyumbani Anfield, wamenusurika kupata kichapo toka kwa Arsenal kwa kupata sare ya goli 2-2.

 

11 years ago

GPL

MNYAMA HOI TAIFA, AZAM YAAMBULIA SARE CHAMAZI

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC 'Mnyama' leo wamepokea kichapo cha bao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Nao Azam FC waliokuwa wenyeji wa Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bao 2-2 katika Uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar.

 

10 years ago

Vijimambo

SARE SARE MAUA YA KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN

Kanye West Kim Kardashiani wakiwa wamevaa ngua zinazofanana siku ya Alhamisi mitaa ya New York City,  Jimbo la New York nchi Marekani

 

9 years ago

BBCSwahili

West Brom 2-3 Chelsea 72''

West Brom wanaialika Chelsea nyumbani kwao huku wakifahamu fika kuwa kocha Mourunho anahitaji ushindi kwa udi na uvumba kufufua kampeini yake

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani