Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yaambulia sare kwa Arsenal

Liverpool wakiwa uwanja wa nyumbani Anfield, wamenusurika kupata kichapo toka kwa Arsenal kwa kupata sare ya goli 2-2.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yafuzu,Liverpool yatoka sare

Yaya Sanogo aliifungia Arsenal bao lake la kwanza walipoizaba kilabu ya Borusia Dortmund na kuhakikisha wamefuzu.

 

10 years ago

StarTV

Man Utd yaambulia sare ya 2-2 na West Brom.

Ligi kuu ya England imeendelea jana usiku ambapo Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu na kushindwa kufurukuta ugenini kwa Westbromwich Albion na kutoka sare ya mabao 2-2 licha kwamba ilitawala mchezo huo.

 
Mchezo huo wa pekee kwa ratiba ya ligi hiyo ulishuhudiwa Man United ikishindwa kupata walau ushindi wake wa kwanza nje ya uwanja wake wa nyumbani tangu timu hiyo iwe chini ya kocha Louis Van Gaal.

 
Ni bao la Daley Blind katika dakika za mwisho za mchezo ambalo limeiokoa Manchester...

 

11 years ago

GPL

MNYAMA HOI TAIFA, AZAM YAAMBULIA SARE CHAMAZI

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC 'Mnyama' leo wamepokea kichapo cha bao 3-2 kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Nao Azam FC waliokuwa wenyeji wa Tanzania Prisons wamelazimishwa sare ya bao 2-2 katika Uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar.

 

11 years ago

GPL

LIVERPOOL HOI KWA ARSENAL

Wachezaji wa Arsenal wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Oxlade-Chamberlain dakika ya 16. Lukas Podolski akiifungia Arsenal bao la pili katika dakika ya 47 ya mchezo.…

 

5 years ago

Michuzi

MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...


Yassir Simba, Michuzi Tv

MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.

Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari  23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...

 

10 years ago

GPL

ARSENAL YAPATA SARE

Mfungaji wa bao la kwanza la Manchester City, Sergio Aguero dhidi ya Arsenal, alifunga bao hilo katika dakika ya 28. Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck (kushoto) akiwania mpira na mchezaji wa Manchester City, Frank Lampard.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger akasirishwa na sare ya Arsenal

Meneja Arsene wenger amekasirishwa na sare ya tatu kwa tatu iliopatikana katika mechi kati ya Arsenal na Anderlecht.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatoka sare na Manchester United

Arsenal yapotza nafasi ya kurejea kileleni mwa ligi kuu baada ya kutoka sare na Manchester United katika uwanja wa Emirates.

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool waambulia sare Europa League

Klopp alishindwa kuandikisha ushindi mechi yake ya kwanza Anfield baada ya vijana wake kulazimishiwa sare na Rubin Kazan katika Europa League.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani