Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARSENAL YAPATA SARE

Mfungaji wa bao la kwanza la Manchester City, Sergio Aguero dhidi ya Arsenal, alifunga bao hilo katika dakika ya 28. Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck (kushoto) akiwania mpira na mchezaji wa Manchester City, Frank Lampard.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Taifa Stars yapata sare Namibia

>Pamoja na kusafiri na kikosi cha wachezaji 15, timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ilifanikiwa kutoka sare ya 1-1 na Namibia katika mechi ya kimataifa ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Sam Nujoma, Windhoek.

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS YAPATA SARE DHIDI YA WENYEJI NAMIBIA

Kikosi cha Taifa Stars. Taifa Stars imefanikiwa kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wake Namibia katika mechi ya kirafiki iliyochezwa leo jijini Windhoek. Stars ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata bao lililofungwa na kiungo mwenye kipaji wa pembeni wa Azam FC, Hamis Mcha maarufu kama Vialli. Vialli alifunga bao hilo zikiwa zimebaki dakika tatu tu mpira kwisha, lakini wenyeji wakasawazisha katika dakika za nyongeza. Bao lao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger akasirishwa na sare ya Arsenal

Meneja Arsene wenger amekasirishwa na sare ya tatu kwa tatu iliopatikana katika mechi kati ya Arsenal na Anderlecht.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yafuzu,Liverpool yatoka sare

Yaya Sanogo aliifungia Arsenal bao lake la kwanza walipoizaba kilabu ya Borusia Dortmund na kuhakikisha wamefuzu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatoka sare na Manchester United

Arsenal yapotza nafasi ya kurejea kileleni mwa ligi kuu baada ya kutoka sare na Manchester United katika uwanja wa Emirates.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaambulia sare kwa Arsenal

Liverpool wakiwa uwanja wa nyumbani Anfield, wamenusurika kupata kichapo toka kwa Arsenal kwa kupata sare ya goli 2-2.

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YASHIKWA EPL, YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA EVERTON

Mesut Ozil akiifungia Arsenal bao la kuongoza katika dakika ya 80 ya mchezo. Ozil akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yalala,Arsenal yawika,Chelsea sare

Arsenal ilinusurika dakika za lala salama na kuweza kuishinda Crystal Palace mabao 2-1 na kupanda hadi nafasi ya tatu katika ligi

 

9 years ago

Bongo5

Arsenal yapata pigo jingine jipya

hi-res-72691e3dd61baaaaecea47125f14ebee_crop_north

Klabu ya Arsenal itamkosa kiungo wake wa kati Santi Cazorla hadi Machi mwakani, meneja wake, Arsene Wenger ameleeza.

hi-res-72691e3dd61baaaaecea47125f14ebee_crop_north

Mchezaji huyo anayechezea timu ya taifa ya Hispania, aliumia goti wakati wa mchezo kati ya Arsenal na Norwich ulioisha kwa sare ya 1-1. Klabu hiyo tayari ina majeruhi kiungo wao mwingine wa kati Francis Coquelin atakayekaa nje miezi mitatu baada ya kuumia goti.

Beki wa kati Laurent Koscielny na mshambuliaji Theo Walcott wameshapona majeraha yao na watarejea uwanjani.

Alexis...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani