Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARSENAL YASHIKWA EPL, YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA EVERTON

Mesut Ozil akiifungia Arsenal bao la kuongoza katika dakika ya 80 ya mchezo. Ozil akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YANGA YASHIKWA TAIFA, YALAZIMISHWA SULUHU NA NDANDA

Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda (kushoto) akijaribu kumtoka beki wa Ndanda. Patashika wakati wa mtanange wa leo.…

 

5 years ago

BBC

Arsenal 3-2 Everton: Aubameyang nets twice as Arsenal beat Everton in thriller

Mikel Arteta's encouraging rebuilding job at Arsenal continues with a win over a stubborn Everton, which could have a big say in the race for European football.

 

10 years ago

Dewji Blog

Simba yalazimishwa sare

2+copy

Beki wa Simba, Nassor Chollo, (no 2) akiruka kumdhibiti mshambuliaji wa Polisi Moro, Danny Mrwanda, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa jana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na sufianmafoto.com)

Na Mwandishi wetu

TIMU ya Simba, jana ilizidi kuchechemea katika Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuvuna sare ya bao 1-1 dhidi ya Polisi Morogoro katika mechi kali iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Hiyo ni sare ya pili kwa Simba chini ya kocha...

 

10 years ago

GPL

LIVERPOOL HOI YASHIKWA NA EVERTON

Wachezaji wa Everton wakishangilia baada ya Phil Jagielka (kulia) kufunga dakika ya 90 dhidi ya Liverpool.…

 

10 years ago

Vijimambo

STARS UNITED YALAZIMISHWA SARE YA BAO 5-5 NA ALL AFRICAN STARS YA ATALANTA

 All African Stars wakipata picha ya pamoja.                       Stars United wakipata  picha ya pamoja.


Na Mwandishi wetu Atlanta, GATimu Stars United inayoundwa na nyota kutoka majimbo mbalimbali nchini Marekani siku ya Jumamosi Aug 1, 2015 katika kiwanja cha nyasi za bandia cha Hammond Dr kilichopo mji wa Sandy Spring jijini Atlanta jimbo la Georgia, ililazimishwa sare ya bao 5-5 katika mchezo mkali na wa kusisimua  zidi ya timu mchanganyiko iliyoundwa na wachezaji wa mataifa ya Afrika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Epl: Everton yaitambia West brom

Klabu ya soka ya Everton imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya West Bromwich Albion katika mchezo wa ligi kuu ya England

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kuvaana na Everton

Ligi Kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena wikendi hii kwa mechi kadhaa, Arsenal watakuwa nyumbani Emirates dhidi ya Everton.

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YAIGONGA EVERTON 4-1

Olivier Giroud na Mesut Ozil wakishangilia bao la nne kwa Arsenal dhidi ya Everton katika dakika ya 85. Bao hilo limefungwa na Giroud. Olivier Giroud akishangilia bao la tatu kwa Arsenal alilofunga dakika ya 83.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumenyana na Everton.

Je watashinda na kujiongeza pointi kama ilivyokuwa ada yao?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani