Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yalazimishwa sare

2+copy

Beki wa Simba, Nassor Chollo, (no 2) akiruka kumdhibiti mshambuliaji wa Polisi Moro, Danny Mrwanda, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa jana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na sufianmafoto.com)

Na Mwandishi wetu

TIMU ya Simba, jana ilizidi kuchechemea katika Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuvuna sare ya bao 1-1 dhidi ya Polisi Morogoro katika mechi kali iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Hiyo ni sare ya pili kwa Simba chini ya kocha...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ARSENAL YASHIKWA EPL, YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA EVERTON

Mesut Ozil akiifungia Arsenal bao la kuongoza katika dakika ya 80 ya mchezo. Ozil akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao.…

 

10 years ago

Vijimambo

STARS UNITED YALAZIMISHWA SARE YA BAO 5-5 NA ALL AFRICAN STARS YA ATALANTA

 All African Stars wakipata picha ya pamoja.                       Stars United wakipata  picha ya pamoja.


Na Mwandishi wetu Atlanta, GATimu Stars United inayoundwa na nyota kutoka majimbo mbalimbali nchini Marekani siku ya Jumamosi Aug 1, 2015 katika kiwanja cha nyasi za bandia cha Hammond Dr kilichopo mji wa Sandy Spring jijini Atlanta jimbo la Georgia, ililazimishwa sare ya bao 5-5 katika mchezo mkali na wa kusisimua  zidi ya timu mchanganyiko iliyoundwa na wachezaji wa mataifa ya Afrika...

 

10 years ago

GPL

COASTAL, SIMBA SC ZATOKA SARE YA 0-0

Kipa wa Coastal Union, Shaaban Kado akidaka mpira mbele ya beki wake, Tumba Swedi ambaye yuko mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Dan Sserunkuma. COASTAL UNION wamegoma kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, baada ya jioni ya leo kulazimisha sare ya 0-0 na Simba SC Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Hakukuwa na mchezo wa kuvutia sana kutokana na timu zote kucheza mipira mirefu kwa kuhofia ubovu wa Uwanja wa Mkwakwani, lakini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sare zaing’oa Simba ‘Zenji’

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema haoni haja ya kurejea Zanzibar kuendelea na kambi kwa mechi zijazo za Ligi Kuu, baada ya kuambulia sare katika mechi mbili mfululizo katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba yavuna sare Mbeya

TIMU za Simba na Mbeya City, jana zilishindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi kali iliyokuwa na ushindani dakika zote 90 iliyopigwa Uwanja wa Sokoine, mjini...

 

10 years ago

Michuzi

simba yatoka sare ya 1-1 na Stand United

Golikipa wa timu ya Stend United, John Mwenda akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe wakati wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka  Tanzania uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. (Picha na Francis Dande) 
Mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe akimtoka beki wa Stand United, Idd Mobby.
Maguri akiipangua ngome ya Stand United.Idd Mobby akimdhibiti Emmanuel Okwi.

MATOKEO YOTE YA LEO
SIMBA 1- STAND UNITED 1PILISI MORO 1- KAGERA...

 

11 years ago

GPL

SIMBA YATOKA SARE NA MTIBWA SUGAR

HATIMAYE ubishi wa timu ya Mtibwa na wekundu wa msimbazi Simba umemalizika leo hii uwanja wa taifa baada ya kuchoshana nguvu kwa kufungana sare ya 1-1. Matokeo hayo, yanaiongezea Simba na kufikisha pointi 31 kibindoni na kupanda  nafasi ya tatu, sawa na  Vinara Mbeya city wenye pointi 31. Mfungaji wa Simba ni Hamisi Tambwe dakika ya 50 kipindi cha pili na Mtibwa Sugar ni Hasani Mgosi dakika ya 40 kipindi cha kwanza. ...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yaziaga sare, yafikiria ushindi

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza mkakati wa kupata ushindi kwenye mechi zilizosalia za Ligi Kuu msimu huu wakieleza kuwa, sare sasa basi.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Simba, Azam zaambulia sare

VINARA wa Ligi Kuu Bara, Azam jana walilazimishwa sare ya mabao 2-2 na Simba katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani