Simba yavuna sare Mbeya
TIMU za Simba na Mbeya City, jana zilishindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi kali iliyokuwa na ushindani dakika zote 90 iliyopigwa Uwanja wa Sokoine, mjini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Sep
TFF sasa yavuna mamilioni Azam, Yanga, Simba kiulani
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Mbeya City, Prisons zaambulia sare 1-1Â
TIMU za Mbeya City na Tanzania Prisons za jijini hapa, jana zilitoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya kirafiki iliyokuwa kipimo cha matumizi ya mfumo mpya wa tiketi za...
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Simba yalazimishwa sare
Beki wa Simba, Nassor Chollo, (no 2) akiruka kumdhibiti mshambuliaji wa Polisi Moro, Danny Mrwanda, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa jana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na sufianmafoto.com)
Na Mwandishi wetu
TIMU ya Simba, jana ilizidi kuchechemea katika Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuvuna sare ya bao 1-1 dhidi ya Polisi Morogoro katika mechi kali iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
Hiyo ni sare ya pili kwa Simba chini ya kocha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*XfNVsz9OTx*J1wL7AA8xolIFusbgIOofOy2AZiw8Z*zYVJLdpgkCUk9Hh68WEfYMlScp1K7fv3V3CfZoWFqDGE/A.jpg?width=650)
COASTAL, SIMBA SC ZATOKA SARE YA 0-0
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Sare zaing’oa Simba ‘Zenji’
KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema haoni haja ya kurejea Zanzibar kuendelea na kambi kwa mechi zijazo za Ligi Kuu, baada ya kuambulia sare katika mechi mbili mfululizo katika...
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Yanga yatoka sare,Simba yapeta
9 years ago
Habarileo15 Dec
Sare na Simba yamshtua Kocha Azam
KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amesema atahakikisha anafanyia kazi safu ya ulinzi ili makosa yaliyojitokeza katika mechi dhidi ya Simba yasijirudie mchezo ujao. Vinara hao wa Ligi Kuu walilazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo matokeo hayo yaliendelea kuwabakiza kileleni wakiwa na pointi 26.
10 years ago
Vijimambo03 Nov
Phiri:Sare Simba siri nzito
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/phiri-November3-2014.jpg)
Simba juzi iliendelea kupata sare na kufikisha pointi sita katika mechi sita walizocheza katika Ligi ya Bara msimu huu ambayo ilianza kupigwa kwenye viwanja...