Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yavuna sare Mbeya

TIMU za Simba na Mbeya City, jana zilishindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi kali iliyokuwa na ushindani dakika zote 90 iliyopigwa Uwanja wa Sokoine, mjini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

TFF sasa yavuna mamilioni Azam, Yanga, Simba kiulani

Ni dhahiri Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) litavuna Sh118.1milioni msimu huu kutoka katika klabu sita zenye wachezaji wa kigeni, lakini fedha hizo zinaonekana kuwa mtego na vita baina ya klabu na shirikisho hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City, Prisons zaambulia sare 1-1 

TIMU za Mbeya City na Tanzania Prisons za jijini hapa, jana zilitoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya kirafiki iliyokuwa kipimo cha matumizi ya mfumo mpya wa tiketi za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simba yalazimishwa sare

2+copy

Beki wa Simba, Nassor Chollo, (no 2) akiruka kumdhibiti mshambuliaji wa Polisi Moro, Danny Mrwanda, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa jana kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na sufianmafoto.com)

Na Mwandishi wetu

TIMU ya Simba, jana ilizidi kuchechemea katika Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuvuna sare ya bao 1-1 dhidi ya Polisi Morogoro katika mechi kali iliyochezwa Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Hiyo ni sare ya pili kwa Simba chini ya kocha...

 

10 years ago

GPL

COASTAL, SIMBA SC ZATOKA SARE YA 0-0

Kipa wa Coastal Union, Shaaban Kado akidaka mpira mbele ya beki wake, Tumba Swedi ambaye yuko mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Dan Sserunkuma. COASTAL UNION wamegoma kufungwa mechi ya pili mfululizo nyumbani, baada ya jioni ya leo kulazimisha sare ya 0-0 na Simba SC Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Hakukuwa na mchezo wa kuvutia sana kutokana na timu zote kucheza mipira mirefu kwa kuhofia ubovu wa Uwanja wa Mkwakwani, lakini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sare zaing’oa Simba ‘Zenji’

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema haoni haja ya kurejea Zanzibar kuendelea na kambi kwa mechi zijazo za Ligi Kuu, baada ya kuambulia sare katika mechi mbili mfululizo katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Yanga yatoka sare,Simba yapeta

Yanga ikiwa ugenini huko Shinyanga ilikwenda sare ya mabao 2-2 na Mwadui Fc.

 

9 years ago

Habarileo

Sare na Simba yamshtua Kocha Azam

KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amesema atahakikisha anafanyia kazi safu ya ulinzi ili makosa yaliyojitokeza katika mechi dhidi ya Simba yasijirudie mchezo ujao. Vinara hao wa Ligi Kuu walilazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo matokeo hayo yaliendelea kuwabakiza kileleni wakiwa na pointi 26.

 

10 years ago

Vijimambo

Phiri:Sare Simba siri nzito

Kocha Mkuu wa Simba, Patrick PhiriWakati Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, akisema matokeo ya sare ambayo timu yake imeendelea kuyapata katika mechi za Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara yana siri nzito na yanazidi kumchanganya, Mecky Maxime anayeinoa Mtibwa Sugar amekivulia kofia kikosi cha Mzambia huyo kwa kusema kinakosa bahati tu.

Simba juzi iliendelea kupata sare na kufikisha pointi sita katika mechi sita walizocheza katika Ligi ya Bara msimu huu ambayo ilianza kupigwa kwenye viwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani