Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya City, Prisons zaambulia sare 1-1 

TIMU za Mbeya City na Tanzania Prisons za jijini hapa, jana zilitoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya kirafiki iliyokuwa kipimo cha matumizi ya mfumo mpya wa tiketi za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City na Yanga zaingiza Sh175milioni, zaambulia Sh84milioni

Mbeya City na Yanga zaingiza Sh175milioni, zaambulia Sh84milioni

 

11 years ago

Mwananchi

Prisons yaionya Mbeya City

Timu ya Tanzania Prisons imeapa kuondoa uteja kutoka kwa Mbeya City msimu ujao na kusisitiza kwamba vijana wa timu hiyo wanajinoa kisawasawa kuondokana na hali hiyo.

 

11 years ago

GPL

Mbeya City yaibamiza Prisons

Baadhi ya wachezaji wa Mbeya City wakishangilia ushindi. Na Sophia Mwaipyana, Mbeya
VIJANA wa Mbeya City wameendelea kuonyesha kuwa wapo kikazi zaidi msimu huu baada ya kutoa kipigo cha bao 1-0 kwa wapinzani wao wa mji mmoja, Tanzania Prisons katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Mbeya City ambayo imefikisha pointi 45, ilipata bao lake kupitia kwa Paul Nonga katika… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City, Prisons vitani Julai 5

TIMU za Mbeya City na Tanzania Prisons zinatarajiwa kushuka dimbani Julai 5 kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine, jijini Mbeya kwa ajili ya kufanyia majaribio tiketi za kielektroniki. Kwa mujibu...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Simba, Azam zaambulia sare

VINARA wa Ligi Kuu Bara, Azam jana walilazimishwa sare ya mabao 2-2 na Simba katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iran na Nigeria zaambulia sare tasa

Timu ya Iran na Nigeria zilitoka sare ya suluhu bin suluhu , katika mechi yao ya kundi F huko Curitiba, kwenye fainali ya kombe la dunia siku ya Jumatatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City yaua, Prisons v Simba leo

Mbeya. Mbeya City imeichakaza Rhino Rangers kwa mabao 3-1  jana kwenye Uwanja wa Sokoine, wakati ndugu zao wa Tanzania Prisons, leo wataivaa Simba kwenye uwanja huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Prisons, Mbeya City waungana kuiua Yanga

Ni urafiki wenye shaka. Hivyo, ndivyo unavyoweza kuzungumzia hatua ya mashabiki wa Prisons na Mbeya City kuungana ili kuimaliza Yanga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani