Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya City, Prisons vitani Julai 5

TIMU za Mbeya City na Tanzania Prisons zinatarajiwa kushuka dimbani Julai 5 kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine, jijini Mbeya kwa ajili ya kufanyia majaribio tiketi za kielektroniki. Kwa mujibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba, Mbeya City vitani

Mbeya City wataishusha Yanga katika nafasi ya pili kama wataibuka na ushindi leo dhidi ya Ashanti United kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam, huku Simba wakiwa na kibarua kizito mbele ya Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Mbeya City vitani

>Mabingwa watetezi Yanga baada ya kutoka sare mara mbili mfululizo leo watashuka kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kuwakabili Rhino Rangers kwa lengo moja tu la kusaka ushindi ili kuendelea kuipa  presha Azam FC kileleni wa Ligi Kuu Bara

 

11 years ago

Mwananchi

Prisons yaionya Mbeya City

Timu ya Tanzania Prisons imeapa kuondoa uteja kutoka kwa Mbeya City msimu ujao na kusisitiza kwamba vijana wa timu hiyo wanajinoa kisawasawa kuondokana na hali hiyo.

 

11 years ago

GPL

Mbeya City yaibamiza Prisons

Baadhi ya wachezaji wa Mbeya City wakishangilia ushindi. Na Sophia Mwaipyana, Mbeya
VIJANA wa Mbeya City wameendelea kuonyesha kuwa wapo kikazi zaidi msimu huu baada ya kutoa kipigo cha bao 1-0 kwa wapinzani wao wa mji mmoja, Tanzania Prisons katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Mbeya City ambayo imefikisha pointi 45, ilipata bao lake kupitia kwa Paul Nonga katika… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City kambini Julai 15

TIMU ya Mbeya City iliyokuja kwa kasi katika tasnia ya Soka hapa nchini, inatarajia kuingia kambini Julai 15 ikiwa ni maandalizi ya ligi Kuu Tanzania Bara. Kocha Mkuu wa Mbeya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City, Prisons zaambulia sare 1-1 

TIMU za Mbeya City na Tanzania Prisons za jijini hapa, jana zilitoka sare ya bao 1-1 katika mechi ya kirafiki iliyokuwa kipimo cha matumizi ya mfumo mpya wa tiketi za...

 

10 years ago

Habarileo

Prisons kumalizia hasira kwa Mbeya City

NAHODHA wa Tanzania Prisons, Laurian Mpalile amesema mchezo dhidi ya Mbeya City utakuwa mgumu lakini haiwafanyi kuogopa kucheza nao.

 

10 years ago

TheCitizen

Mbeya City lose again as Toto, Prisons win

Toto African, Stand United and Tanzania Prisons yesterday recorded wins to secure three crucial points in the ongoing Vodacom Premier League.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani